Barua ya wazi kwa Dr Slaa Part 1 + 2 kuelekea 2015

naludia kupost tena kama kuiremove mremove tena inamana mnataka watu wote mawazo yafanane?

padri slaa hawezi kuwa rais
kwanza ana historia ya usaliti
1.alilisaliti kanisa katoliki
lililomsomesha na kumpa hiyo
PHD fake.kwa kuliibia hela mpka
akafukuzwa
2.alilikisaliti chama kilichomlea
kwa tamaa ya madaraka ccm na
kukimbilia chama cha edwn mtei
cdm
3.amemsaliti mke wake wa
kwanza rose kamili.kisa tamaa
HATA AKIPATA NCHI ATATUSALITI
HUYU KWA KUWA NDIO TABIA YAKE

Wewe ndugu,una hasira sana na Dr. Slaa,angalia usije ukamshambulia ukapitiliza baadaye tukashindwa kuamini hata ukweli utakaosema.

Kwanza siamini kuwa udaktari wake ni 'fake'kama ulivyosema,kwani sidhani kama una ushahidi.Yapo mapungufu yake yaseme hayo akiweza ajirekebishe kama huyaoni hayo watu watajua hana na watazidi kumpenda.
 
Niliahidi katika post iliyopita kwamba nitaendeleza some parts za mjadala wa kiuchumi kwa taifa. This will be my second post na nashukuru wengi mmejadili ile ya kwanza na nichukuwe fursa hii kuwapongeza wote hata wale walio kebehi na kejeli, na ndiyo hasa maana ya mjadala, wengine wako hivi wengine vile yote kwangu poa tu. Najua habari hizi hata wale wa magamba wanaziona lakini mimi naamini Dr. Slaa ndiye anaweza kutekeleza kama ninavyo fikiri na ndiyo maana nam adress yeye. Wale mliyochukizwa na kingereza am sory but that is the reality, tumesoma kwa kuchanganya what do you expect, hebu wewe wa lamu sema Net Asset Value kwa kiswahili ili tujue unaweza!

Lakini hizo si hoja zaidi nataka kuendelea kumwambia Rais mtarajiwa Dr. Slaa juu ya dhana ya Pivate Equity (PE) na jinsi unavyoweza kutumia Quantitative Easing (QE) katika kusukuma uchumi huu ulio dorora. Kimsingi hapa Mh. ni kwamba watu wawe mobilised katika muungano wa kiuchumi waunde makampuni then wamilki shares kwa utaratibu wowote unaokubalika, sasa wa issue Bonds yaani Corporate bonds ambazo serikali itanunua zenye riba kidogo maana private parties hawawezi kununua kutokana na natural credit spread iliyopo kwenye hizo private debts (sababu za credit spread ni nyingi lakini kubwa ni default risk, liquidity especially asset liquidity na risk premium), kwahiyo serikali inunue hizo na kuwa regulate ipasavyo ili waweze kuzalisha na kuilipa serikali kidogo kidogo, hiyo sasa itakuwa ni the reverse na ile wanakataza IMF hapa serikali ina stimulate uchumi! hapa unaweza kuwalazimisha waanzishe viwanda vidogo ili watoe na ajira pamoja na kuprocess mazao ya wakulima. Kwakuwa najua wewe utawasimamia vizuri nina uhakika waarudisha mikopo hiyo na watafaidika. Zaidi uwe makini na Excessive gearing (Leverage Positions) ambazo regulator wako atasimamia ili wawe na displine Mkuu, si unajua na sisi ni kiboko tunataka tukope halafu tusirudishe! This way pamoja na usimamizi wako mzuri Mh. najua tutaanza kusogea na usishau kukusaya kodi wakianza kupata faida Mheshimiwa Rais mtarajiwa. Mfano zile Bilioni 21 zingetumika this way huenda kungekuwa na kiwanda kikubwa cha kuchuja mafuta ya alizeti pale Singida na pengi hadi leo tungekuwa navyo vya kutosha kuprocess na kuongeza thamani kuliko kuendelea kuwanyonya wananchi kama ilivyo sasa.

nitaendelea kukupa in pieces ili tujadili kwa upana zaidi.
 
Mh! Haya kaka kwani JK si umwandikie tu. Hebu mPM basi JK. Au hujui ID anayotumia humu? Nikupe ID yake?
 
Mh. Rais 2015,

Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?

Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:

Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.

Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;

Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!

Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.

Net asset value sisi wa Lamu kwa kiswahili tusema "uwekezaji mali kwa viwango vyenye thamani"
 
Hapo ndio yupo NIL kabisa, mweupe, peeee, pe pe pee. Aliongelea mara moja tu kutaka kututia mkenge kuwa ataufanya mfuko wa simenti kuwa shillingi elfu tano, kumbe alimaanisha ataileta mifuko ya kilo 25 na si ya kilo 50 inayotumika sasa, ili bei ishuke?. Hajarudia tena kuongelea hilo. Mambo ya uchumi ndio hagusii kabisa, wala mambo ya nje, ndio kabisaaaaa, sijawahi kusikia.

Wasasa ana elimu ya uchumi ameitumia kutufikisha wapi?
 
Hapo ndio yupo NIL kabisa, mweupe, peeee, pe pe pee. Aliongelea mara moja tu kutaka kututia mkenge kuwa ataufanya mfuko wa simenti kuwa shillingi elfu tano, kumbe alimaanisha ataileta mifuko ya kilo 25 na si ya kilo 50 inayotumika sasa, ili bei ishuke?. Hajarudia tena kuongelea hilo. Mambo ya uchumi ndio hagusii kabisa, wala mambo ya nje, ndio kabisaaaaa, sijawahi kusikia.
Asingeweza kabisaaaa kwajinsi mlivyo haribu uchumi wa nchi yetu uliowekwa imara na Mkapa leo mfuko wa cement ni Tsh 20,000/=kutoka Tsh. 12,500/= mwezi Nov, 2010. Hadi 2015 tutakuwa tumenyoshwa ile mbaya

Asanteni sana munao jua somo la uchumi kwa vitendo Juzi Via Startv mnasema pesa za kuwalipa wafanya kazi wa umma hazipo
 
Asingeweza kabisaaaa kwajinsi mlivyo haribu uchumi wa nchi yetu uliowekwa imara na Mkapa leo mfuko wa cement ni Tsh 20,000/=kutoka Tsh. 12,500/= mwezi Nov, 2010. Hadi 2015 tutakuwa tumenyoshwa ile mbaya

Asanteni sana munao jua somo la uchumi kwa vitendo Juzi Via Startv mnasema pesa za kuwalipa wafanya kazi wa umma hazipo

Bado kitambo kidogo sumenti itafika 40000 kwa mfuko, hali ni kama Zimbabwe.
 
UFUNUO 2015:

wote walioihujumu nchi hii wapo mstari wa mbele mno kutopenda Rais atoke upinzani kwani wanahofu kubwa ataweza kuwapa kashi kashi; wameiba, na wanaendelea kuiba tena kwa speed kali kuelekea 2015; kwa sasa wanajifariji tu kwamba wanafikiri bado watanzania ni mbumbumbu kiasi cha kuwadanganya tena kwa mpunga (pilau) wa kampeni na elfu kumi kumi kaya kwa kaya kushinda chaguzi.

Things are changing na kama CCM hawatakabidhiwa madaraka 2015 endapo wapinzania watashinda au kama watafanya udanganyifu kuchezea matokeo basi tutashuhudia Somalia / Nigeria mpya - na nchi yetu kwa mara ya kwanza itaingia kwenye ramani ya mapambano - itakuwa mbaya zaidi maana songombingo hilo baada ya hapo litahamia kuchoma makanisa na misikiti.

Kwa watakao nusurika kubaki salama basi wataheshimiana na hapo ndipo litapatikana taifa jipya la Tanganyika na Zanzibar ambalo litakuwa na nguvu za kiuchumi katika africa mashariki na hata kati. kwa wale watakaopoteza maisha historia ya ukombozi wa nchi hii itawakumbuka.

Bila Vita kati ya sisi wenyewe basi hakutakuwa na heshima yoyote na ndiyo maana mnaona mambo ya kuzarauliana yanaendelea kutokea kila siku mengi tu na wala sitayataja yote; Madaktari, Walimu, Mfumuko wa bei, Posho za wabunge, Kukanganyana kauli za viongozi wa serikali, mihimili kutofautiana ki hoja; kulindana kwa viongozi n.k


Wote Jf mnajua kama tungekuwa na access ya matokeo yote tunahesabu upya pale uwanja wa taifa - nafikiri kiongozi wa nchi anajulikana, sasa sitaki kuwarudisha huko ila tu nawapa ufunuo kwamba kwa mtu yeyote atakayechezea uchaguzi wa 2015 basi atakuwa analiingiza taifa hili kwenye MOTO wa ajabu. Tusuburi hiyo 2015 ifke ili tukate mzizi wa fitna.
 
naludia kupost tena kama kuiremove mremove tena inamana mnataka watu wote mawazo yafanane?

padri slaa hawezi kuwa rais
kwanza ana historia ya usaliti
1.alilisaliti kanisa katoliki
lililomsomesha na kumpa hiyo
PHD fake.kwa kuliibia hela mpka
akafukuzwa
2.alilikisaliti chama kilichomlea
kwa tamaa ya madaraka ccm na
kukimbilia chama cha edwn mtei
cdm
3.amemsaliti mke wake wa
kwanza rose kamili.kisa tamaa
HATA AKIPATA NCHI ATATUSALITI
HUYU KWA KUWA NDIO TABIA YAKE


Kwenye wekundu hapo. Hivi Mkuu wa Kaya ana wake wangapi?? karibu kila mkoa ana familia na Mama WAMA anataka hata kuwapa sumu. tena ngoja nitamshauri awatafute wale ''Mwakyembe's haram'' wamsaidie kupunguza familia za mumewe.
 
naludia kupost tena kama kuiremove mremove tena inamana mnataka watu wote mawazo yafanane?

padri slaa hawezi kuwa rais
kwanza ana historia ya usaliti
1.alilisaliti kanisa katoliki
lililomsomesha na kumpa hiyo
PHD fake.kwa kuliibia hela mpka
akafukuzwa
2.alilikisaliti chama kilichomlea
kwa tamaa ya madaraka ccm na
kukimbilia chama cha edwn mtei
cdm
3.amemsaliti mke wake wa
kwanza rose kamili.kisa tamaa
HATA AKIPATA NCHI ATATUSALITI
HUYU KWA KUWA NDIO TABIA YAKE

Mkuu masahihisho kidogo,
1Phd yake siyo feki kwa kuwa PHD za wakatoliki zinafafanana PHD Unazojua wewe. Ndiyo maana mimi pale udsm nilfundishwa na Profesa, Padre Mkude. Alikuwa kichwa sana. Sijui kama siku hizi amestaafu.
Hakufukuzwa kule Jimbo katoliki la Mbulu ambalo karatu liko ndani yake, na mimi nimetoka Mbulu, bali yeye ndo aliamu kujiondoa na kuingia kwenye siasa kwa hiari yake. Angefukuzwa kwa utaratibu wa wakatoliki asingeenda kusali huko. Acha kupotosha kwa makusudi mkuu.
2 Hakusaliti ccm, bali wanaccm ndo walimchagua kwa kishindo kwenye kura ya maoni. NEC dodoma wakamchakachua.Hao hao wanaccm wakamwomba achukue fomu kupitia Chadema na hao hao wanaccm wakampitisha. Wakati huo Chadema haikuwa hata na mkiti wa wilaya - achilia mbali wanachama wa kumpigia kura. Kwa hiyo, Slaa ni Chaguo la wanakaratu hadi kesho bila kujali itikadi za vyama vyao.
3. Dr Slaa hajawahi kufunga ndoa na Rose Kamili, ila Rose Kamili ni mzazi mwenzake na wana watoto 2. Rose Kamili mwenyewe kashatulia na halalamiki wewe pili pili usizokula za kuwashia nini?. Yuko na Josephine, wote wameridhika na Katiba ya nchi zinawaruhusu. Kwani mkuu JK ana watoto wangapi? Kwa wake wangapi?

 
Mkuu masahihisho kidogo,
1Phd yake siyo feki kwa kuwa PHD za wakatoliki zinafafanana PHD Unazojua wewe. Ndiyo maana mimi pale udsm nilfundishwa na Profesa, Padre Mkude. Alikuwa kichwa sana. Sijui kama siku hizi amestaafu.
Hakufukuzwa kule Jimbo katoliki la Mbulu ambalo karatu liko ndani yake, na mimi nimetoka Mbulu, bali yeye ndo aliamu kujiondoa na kuingia kwenye siasa kwa hiari yake. Angefukuzwa kwa utaratibu wa wakatoliki asingeenda kusali huko. Acha kupotosha kwa makusudi mkuu.
2 Hakusaliti ccm, bali wanaccm ndo walimchagua kwa kishindo kwenye kura ya maoni. NEC dodoma wakamchakachua.Hao hao wanaccm wakamwomba achukue fomu kupitia Chadema na hao hao wanaccm wakampitisha. Wakati huo Chadema haikuwa hata na mkiti wa wilaya - achilia mbali wanachama wa kumpigia kura. Kwa hiyo, Slaa ni Chaguo la wanakaratu hadi kesho bila kujali itikadi za vyama vyao.
3. Dr Slaa hajawahi kufunga ndoa na Rose Kamili, ila Rose Kamili ni mzazi mwenzake na wana watoto 2. Rose Kamili mwenyewe kashatulia na halalamiki wewe pili pili usizokula za kuwashia nini?. Yuko na Josephine, wote wameridhika na Katiba ya nchi zinawaruhusu. Kwani mkuu JK ana watoto wangapi? Kwa wake wangapi?


Aweda.

Nilipo RED.

Je wewe unaona hiyo ni swifa ya kiongozi kuzaa watoto kwa njia ambayo Mola hakuikubali? Tena tendo lenyewe linafanywa na mtu aliyebobea katika theologia na mtaalamu wa Sheria za kikatoliki (Canon Law).

Huoni kuwa kama ameweza kulisaliti kanisa kwa kuzaa kinyume cha Sheria za mapadre wa kikatoliki (Useja) na kuilinda sakramenti yake ya upadrisho. Je hata weza kuwasaliti waTZ anaowaongoza?

Je wanawake watakuwa salama hapo?

Kumbuka binadamu wanashindana kutenda mema na sio kushindana katika kufanya mapaya. Ndio maana ukisoma Bible inakwambia kuwa kama mtu akikupiga kibao upande huu ...
 
Binafsi ningeshauri kama kuna mtu ana ilani ya uchaguzi a Chadema. basi aiweke hapa ili wataalamu wa uchumi tuone je inaweza kusaidia kuinua uchumi wa TZ.

Au aipeleke kwenye ukumbi wa Uchumi tuijadili kitaalamu zaidi. Kwani kimtazamo wangu sioni kama huko Tz kuna chama makini na chenye sera makini katika kuhuisha uchumi wenu.
 
Hapo ndio yupo NIL kabisa, mweupe, peeee, pe pe pee. Aliongelea mara moja tu kutaka kututia mkenge kuwa ataufanya mfuko wa simenti kuwa shillingi elfu tano, kumbe alimaanisha ataileta mifuko ya kilo 25 na si ya kilo 50 inayotumika sasa, ili bei ishuke?. Hajarudia tena kuongelea hilo. Mambo ya uchumi ndio hagusii kabisa, wala mambo ya nje, ndio kabisaaaaa, sijawahi kusikia.
Yawezekana ukawa sahihi kati ya wanaokosea pia.... najiuliza na nakuuliza wewe na wenzio mnaokwenda tu kwa ushabiki huyu Vasco anatupeleka wapi kiuchumi?? Inflation imefikia 20% toka 6% na bado inasonga mbele....Halafu niliwahi sikia alisoma uchumi.....
 
Binafsi ningeshauri kama kuna mtu ana ilani ya uchaguzi a Chadema. basi aiweke hapa ili wataalamu wa uchumi tuone je inaweza kusaidia kuinua uchumi wa TZ.

Au aipeleke kwenye ukumbi wa Uchumi tuijadili kitaalamu zaidi. Kwani kimtazamo wangu sioni kama huko Tz kuna chama makini na chenye sera makini katika kuhuisha uchumi wenu.

Hii nimeipenda sana....unataka ujadili uchumi wetu sisi watanzania?? Kwani huko kwenu kuna chama gani makini na uweke ilani yao hapa ili tutakapoweka ya chadema ambayo umeshaifanyia judgement kabla ya kuiona tuweze kucompare... after all ilani ya huku kwetu inasimamiwa na vasco sasa akimaliza uvumbuzi wa kuzunguka dunia nadhani ataanza kuitekeleza...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom