William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Masatu,
Umeshawahi kufika ofisi za Manji? Nenda pale au piga simu uulize ninasema bila tatizo na sio siri kuwa Mbunge. Malima ni mfanyakazi wa kampuni za Manji kama mkurugenzi, kama huamini nenda uulize mwenyewe bro, hilo simsingiziiii, ni FACT!
Mzee Mugishagwe,
Ninarudia kuwa uache huo ujinga wako, wa kurukia usiyoyajua na kurukia jina langu kila wakati, hizo siasa za kusema eti JM amejiunga na kundi la Sitta, unahitaji kwenda huko maporini Holland, au Kumekucha.com ambako watu hawajui siasa ndio utawamabia huo ujinga waukubali,
Sitta alikwenda kumuomba JM baraka za kuwa Spika, akapewa na akawa halafu leo JM tena akajiunga na kundi la Sitta,
pure NONESENSE, vijana kama mnahitaji data mseme mpewe data za kweli sio hizi garbage data, wewe hata wapika chai bungeni ukiwaambia hizi data watakushangaa JM ajiunge na kundi la Sitta ili apate nini? Sitta ana ubavu gani wa kuwa na kundi wakati hata huo u-Spika alipewa na EL na RA? kwa kumtumia Marehemu Akukweti, aliyemuuua Msekwa kwa kutoa siri kibao ambazo alikuwa akizikusanya akiwa msaidizi wake wa Spika, wewe uliza kama Msekwa alienda kwenye mazishi ya naibu wake wa zamani,
Please do not get me started!
Umeshawahi kufika ofisi za Manji? Nenda pale au piga simu uulize ninasema bila tatizo na sio siri kuwa Mbunge. Malima ni mfanyakazi wa kampuni za Manji kama mkurugenzi, kama huamini nenda uulize mwenyewe bro, hilo simsingiziiii, ni FACT!
Mzee Mugishagwe,
Ninarudia kuwa uache huo ujinga wako, wa kurukia usiyoyajua na kurukia jina langu kila wakati, hizo siasa za kusema eti JM amejiunga na kundi la Sitta, unahitaji kwenda huko maporini Holland, au Kumekucha.com ambako watu hawajui siasa ndio utawamabia huo ujinga waukubali,
Sitta alikwenda kumuomba JM baraka za kuwa Spika, akapewa na akawa halafu leo JM tena akajiunga na kundi la Sitta,
pure NONESENSE, vijana kama mnahitaji data mseme mpewe data za kweli sio hizi garbage data, wewe hata wapika chai bungeni ukiwaambia hizi data watakushangaa JM ajiunge na kundi la Sitta ili apate nini? Sitta ana ubavu gani wa kuwa na kundi wakati hata huo u-Spika alipewa na EL na RA? kwa kumtumia Marehemu Akukweti, aliyemuuua Msekwa kwa kutoa siri kibao ambazo alikuwa akizikusanya akiwa msaidizi wake wa Spika, wewe uliza kama Msekwa alienda kwenye mazishi ya naibu wake wa zamani,
Please do not get me started!