S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Mbunge Malima anasema alitumwa bungeni na CCM..!!
Yebo Yebo nafikiri alikuwa anamaanisha kuchaguliwa kwake Bungeni.. siyo kuzungumzia jambo hili...
mkjj,
hongera kwa mahojiano yako na mh malima.
maoni,naomba wakati mwingine muulize mtu swali la moja kwa moja, na kama anakwepa mmbane pale pale.kuhusu swali la kazi akulijibu inavyopaswa.malima ajakanusha wala kukubali kuwa yeye ni mfanyakazi wa manji.
naungana na mzee es kuwa malima ni mfanyakazi wa manji