JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Mwanakijiji,
sijasikiliza mahojiano, lakini inaelekea Spika alikuwa anajaribu kumsaidia Adam Malima. Kwa mujibu wa Spika, ilionekana kwamba ushahidi wa tapes alizotoa Malima ulikuwa haulingani na matamshi yake ndani ya Bunge? Kwa kanuni za Bunge hilo ni kosa.
Zaidi, hii kamati[majority] ilifikia vipi uamuzi kwamba Adam Malima hana makosa? Vilevile hao dissenters waliandika nini kwa Spika?
Hili suala inabidi kuliangalia toka ALL ANGLES. Labda mahojiano ya Malima na KLH yanaweza kutufumbulia hiki kitendawili.
sijasikiliza mahojiano, lakini inaelekea Spika alikuwa anajaribu kumsaidia Adam Malima. Kwa mujibu wa Spika, ilionekana kwamba ushahidi wa tapes alizotoa Malima ulikuwa haulingani na matamshi yake ndani ya Bunge? Kwa kanuni za Bunge hilo ni kosa.
Zaidi, hii kamati[majority] ilifikia vipi uamuzi kwamba Adam Malima hana makosa? Vilevile hao dissenters waliandika nini kwa Spika?
Hili suala inabidi kuliangalia toka ALL ANGLES. Labda mahojiano ya Malima na KLH yanaweza kutufumbulia hiki kitendawili.