Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Azania yangu imeanguka ila bado nasema kuwa "you are known far and wide,you are always our guide.we will never forget you" Yani azania inapitwa hadi na kisimiri na hii feza boyz..dah kweli mambo yamebadilika.
 
Hunaimani kivipi
Umeshindwa kukazania masomo unategemea nini
Hahaha

Mkuu wewe hata utunge pepa wewe tufanye wawili bado nitakuzidi sasa sijui nikazanie vipi masomo

mimi naongea kwa fact

unajua kibaha ilikua ya ngapi last 2 yrs?? Je miundombinu imebadilika 1yr? Mifano iko mingi sana angalia kilakala, tbr girl etc utaona
 
Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI,

Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.

Shule 10 zilizofanya vizuri:
1.Kisimiri,
2.Feza Boys,
3.Alliance Girls,
4. Feza Girls,
5. Marian Boys,
6.Tabora Boys,
7.Kibaha,
8.Mzumbe
9.Ilboru,
10. Tandahimba

KWA MATOKEO: BOFYA HAPA
mkuu tabora boys ni ya 5 sio ya 6
 
Siri ya ushindi wa secondary ya Tandahimba, jumla ya wanafunzi waliofanya mtihani ni 49, masomo waliyosoma na History, English. Kiswahili na General studies. Wadau kuongoza kwa shule hii ni technicalities walizoweka waalimu kukwepa masomo Fulani Fulani ambayo yangeleta failures nyingi au ni kawaida tu?
 
Siri ya ushindi wa secondary ya Tandahimba, jumla ya wanafunzi waliofanya mtihani ni 49, masomo waliyosoma na History, English. Kiswahili na General studies. Wadau kuongoza kwa shule hii ni technicalities walizoweka waalimu kukwepa masomo Fulani Fulani ambayo yangeleta failures nyingi au ni kawaida tu?
Ni shule ya serikali au binafsi?
 
Ufaulu ushuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87%. Wavulana waongoza katika kumi bora.

Shule kumi zilizofanya vizuri ni: Kisimiri, Feza Boys, Alliance Girls, Feza Girls, Tabora Boys, Kibaha, Mzumbe, Iliboru na Tandanhimba Secondary school.

Kwa taarifa zaidi tembelea www.necta.go.tz
 
Kisimiri Advance siyo mchanganyiko

Sijakataa kwamba wapo safi nimekuambia uchache wao umewabeba kama ilivyokuwa kwa Feza na private zilizokuwa zinashika usukani

hebu angalia idadi ya wanafunzi wa feza, ni wengi balaaa. FEZA wako vizuri. mm nafikiri siku wakichuja sana watashika usukani hawa jamaa. Ila nasikia wanaubaguzi kishenzi hawa waturuki, wao wanajilipa DOLARI makapuku wakitz wanapewa MADAFU
 
Kisimiri Advance siyo mchanganyiko

Sijakataa kwamba wapo safi nimekuambia uchache wao umewabeba kama ilivyokuwa kwa Feza na private zilizokuwa zinashika usukani

kisimiri.PNG


Mchanganyiko brother.
 
Back
Top Bottom