Tatizo madogo wa O' Level...huyu mkuu mpya Shulla inabidi awakazie sana...naona wanapanda vizuri sana
Kisimiri wapo juu kwa sababu ya namba tu...
ONCE SPECIAL ALWAYS SPECIALWELCOME BACK "SPECIAL SCHOOLS"
Habari ya masiku ndugu wa KITEIShule yetu hureee......am happy vijana wetu wanaanza kujitambua sasa!!
Kisimiri Advance siyo mchanganyikoKisimiri wapo safi na ni mchanganyiko, wakubali tu daaaa brother
Hahahahaaa aibuNi kweliiView attachment 366438
nisaidie nadownload vp haya matokeo yote plzMatokeo ya kidato cha sita yametoka.
http://www.necta.go.tz/results2016/ACSEE2016/index.htm
Una uhakika mitihani haikuvuja.Madogo wamekimbiza mbaya, naona sasa heshima itakuwepo mtaani maana kuvuja kwa mitihani ndio kuliwabeba private school. Sasa mitihani haijavuja gvt zimekimbiza
Lakini kwa walioingia form six mwaka huu ni mchnganyiko, au siyo. Maana kuna binti mmoja alichaguliwa hapo.Kisimiri Advance siyo mchanganyiko
Sijakataa kwamba wapo safi nimekuambia uchache wao umewabeba kama ilivyokuwa kwa Feza na private zilizokuwa zinashika usukani
Wezi wa mtihaniUmbwe yangu inazidi kuporomoka
imekaaje hii mtu ana D mbili na E moja alafu ana division TWOPongezi kwa shule za serikali,