rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,349
- 20,484
kama taasisi ya urais inasaini mkataba mbovu nani alaumiwe?Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.
Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huoni kuwa taasisi ya urais imejivunjia heshima yenyewe.