NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Ndugu zangu,
Mimi bado najiuliza hivi Malima alikuwa anamaanisha nini aliposema kwamba silaha mbili zilizokoswakoswa kuibwa ni mtaji mkubwa wa maisha. Binafsi kwa kiongoozi mkubwa kama yeye naona kama hakupaswa kuongea hivyo. Kama ndivyo anavyoamini basi nchi hii tuna laana kubwa sana. Sisi wananchi tunawezaje kumtofautisha yeye na hao wanaotumia zana hizo kama mtaji. Inavyoonekana, aliyeiba ni changudoa wake maana tangu lini changudoa akahitaji silaha.
Nitafurahi wanaharakati wakifungua kesi dhidi ya Malima ili atueleze silaha hizo anazitumia kwa biashara gani.
Mimi bado najiuliza hivi Malima alikuwa anamaanisha nini aliposema kwamba silaha mbili zilizokoswakoswa kuibwa ni mtaji mkubwa wa maisha. Binafsi kwa kiongoozi mkubwa kama yeye naona kama hakupaswa kuongea hivyo. Kama ndivyo anavyoamini basi nchi hii tuna laana kubwa sana. Sisi wananchi tunawezaje kumtofautisha yeye na hao wanaotumia zana hizo kama mtaji. Inavyoonekana, aliyeiba ni changudoa wake maana tangu lini changudoa akahitaji silaha.
Nitafurahi wanaharakati wakifungua kesi dhidi ya Malima ili atueleze silaha hizo anazitumia kwa biashara gani.