jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,401
ushauri wangu ni huu...unafahamu makanisa wayojihita ya kilokole?yoyote yale uyoyajua wewe,nenda siku moja mtafute mchungaji mweleze hari halisi then atakusaidia kwenye maombi usikae na mzigo mwenyewe kwenye moyo wako itakusumbua.mimi nahamini hizo nguvu za giza zipo washikaji wangu kibao walikuwa na story kama hizo.usiwaone watu wako balabarani kila mtu anamapito yake..kamwe usiende kwa waganaga wa kienyeji watakula pesa yako bure na nafuhuu hautapata.nenda kwa ombewe kwanza ni bure na uhakika utapona.amin tu.