Habarini wanajamvi,
Inahitaji moyo wa ujasiri sana kutokeza kwenye jukwaa lililojaa wasomi, wacha Mungu, na watu wenye exposure ya kutosha kuja na mada ya uchawi. Hadi naandika haya sijui am half confused. Mimi mwenyewe I dont practice witchcraft and dont believe in it lakini kuna sequence ya events zimekuwa zikiipata familia kwa almost 20years ambazo zimenifanya nianze kuona ukweli ndani yake. Here is the version of my story, will try to cut it short:
Baba ana mke wa ndoa kazaa watoto 5. Kaona bi mdogo kazaa 1. Katelekeza bi mkubwa na watoto japo anaishi karibu na wao. Baada ya miaka 4 kaachana na bibi mdogo karudi kwa mkubwa, kapokelewa kukaa nyumba moja japo vyumba tofauti. Kakasirika kaapa kuangamiza kizazi chake cha kiume kwa cost yeyote.
Kabla ya hayo yote, alikuwa mpenda ushirikina, kwa ajili ya kazi, kusafisha nyota, blab la ya kila aina, hila kwa wenzie, kugombea shamba na kila aina ya kitu unachojua uanweza apply uchawi. Begi lake limejaa makorokocho ya aina hiyo.
Anafungua biashara mkoa mwingine na kuondoka, anatelekeza familia tena na kuhakikisha hasomeshi motto yeyote wa kiume. Kwa hisani ya Mungu katika hali ya umaskini wa kifedha, najikuta nafaulu to gov schools from primary to university na kuanza support waliobaki(though baba aliwahi nitamkia Nikiamua hata ww hufiki popote
Wakati nikiwa kidato cha kwanza tuliwahi ambiwa na mtu wa karibu kuwa kaka zenu hawatakaa wawe watu na akili zao timamu, watakuwa walevi wa kupindikia then wehu kama Mr. Y.
Mr. Y, aliwahifanya kazi na baba, akiwa timamu na familia yake, wakakorofishana, akapoteza kazi, kawa mlevi, mwehu kasha kafa.
Mr. Z, kaka angu, kawa mlevi wa kupindukia, kawa partial mwehu, .
Mr. Q, kaacha chuo bila sababu, kawa mlevi wa kupindukia
Mr. A, baada ya kuona yaliyowapata wenzie katoroka home kujiokoa, still doing good huko aliko
Kifront, kafanyiwa hila baada ya kununua shamba hadi alikose na baba yake, kalikosa na kurudishiwa pesa, kifront anamwuliza kwa nini baba Anajibiwa bado mdogo hizo hela wapata wapi? Mshangao !! Baba anatishia uhai wa watoto wa kifront kwa kusema Nikiamua hata hao watoto wako kesho hawaamki, kisa haelewani na mkwewe
Nimeandika vitu vichache sana just kujaribu kuonesha picture.
Mitihani niliyonayo, nitasaidiaje hii familia?
WHAT DO I DO PEOPLE? WOTE NYUMBANI WANANITEGEMEA MIMI KWA MASULUHISHO AND AM JUST 26YRS SINA EXPERIENCE YA MAISHA KIHIVYO.
Inahitaji moyo wa ujasiri sana kutokeza kwenye jukwaa lililojaa wasomi, wacha Mungu, na watu wenye exposure ya kutosha kuja na mada ya uchawi. Hadi naandika haya sijui am half confused. Mimi mwenyewe I dont practice witchcraft and dont believe in it lakini kuna sequence ya events zimekuwa zikiipata familia kwa almost 20years ambazo zimenifanya nianze kuona ukweli ndani yake. Here is the version of my story, will try to cut it short:
Baba ana mke wa ndoa kazaa watoto 5. Kaona bi mdogo kazaa 1. Katelekeza bi mkubwa na watoto japo anaishi karibu na wao. Baada ya miaka 4 kaachana na bibi mdogo karudi kwa mkubwa, kapokelewa kukaa nyumba moja japo vyumba tofauti. Kakasirika kaapa kuangamiza kizazi chake cha kiume kwa cost yeyote.
Kabla ya hayo yote, alikuwa mpenda ushirikina, kwa ajili ya kazi, kusafisha nyota, blab la ya kila aina, hila kwa wenzie, kugombea shamba na kila aina ya kitu unachojua uanweza apply uchawi. Begi lake limejaa makorokocho ya aina hiyo.
Anafungua biashara mkoa mwingine na kuondoka, anatelekeza familia tena na kuhakikisha hasomeshi motto yeyote wa kiume. Kwa hisani ya Mungu katika hali ya umaskini wa kifedha, najikuta nafaulu to gov schools from primary to university na kuanza support waliobaki(though baba aliwahi nitamkia Nikiamua hata ww hufiki popote
Wakati nikiwa kidato cha kwanza tuliwahi ambiwa na mtu wa karibu kuwa kaka zenu hawatakaa wawe watu na akili zao timamu, watakuwa walevi wa kupindikia then wehu kama Mr. Y.
Mr. Y, aliwahifanya kazi na baba, akiwa timamu na familia yake, wakakorofishana, akapoteza kazi, kawa mlevi, mwehu kasha kafa.
Mr. Z, kaka angu, kawa mlevi wa kupindukia, kawa partial mwehu, .
Mr. Q, kaacha chuo bila sababu, kawa mlevi wa kupindukia
Mr. A, baada ya kuona yaliyowapata wenzie katoroka home kujiokoa, still doing good huko aliko
Kifront, kafanyiwa hila baada ya kununua shamba hadi alikose na baba yake, kalikosa na kurudishiwa pesa, kifront anamwuliza kwa nini baba Anajibiwa bado mdogo hizo hela wapata wapi? Mshangao !! Baba anatishia uhai wa watoto wa kifront kwa kusema Nikiamua hata hao watoto wako kesho hawaamki, kisa haelewani na mkwewe
Nimeandika vitu vichache sana just kujaribu kuonesha picture.
Mitihani niliyonayo, nitasaidiaje hii familia?
- Kwenda kwa mganga sijawahi, and my conscious wont let me free
- Kuendelea kumtegemea Mungu kama ilivyo kawaida yangu, naona majibu yanachelewa na shetani anaendelea kula familia apendavyo
WHAT DO I DO PEOPLE? WOTE NYUMBANI WANANITEGEMEA MIMI KWA MASULUHISHO AND AM JUST 26YRS SINA EXPERIENCE YA MAISHA KIHIVYO.