sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,134
- 4,252
Ufisadi hauna rangi.Bw Zitto kama hakuliona hilo au kama hakuomba ushauri kutoka CDM imekula kwake.Kila kipengere ni muhimu.Looks like his arrogant, kuwa na pesa nyingi bila kutumia kichwa.Chama kimuwajibishe na aache mbwembwe.Mgao wa umeme tena wa bei kubwa hayakubaliki.Nyerere alimchapa viboko Chief Fundikira kwa kuidharirisha TANU kwa kuchukua Hongo.