hizi shutuma za yeye kupewa hela ili kutetea maslahi flani ndani ya tanesco mbona zitto hazikanushi? mpaka tunaanza kufikiria ni za kweli...kuna wakati nafikiria cdm inaweza kuja kua worse than ccm..mana bora ccm wameshakula matumbo yamejaa wakiingia watu ambao wana njaa na wao wanataka kushiba itakuaje
Never trusted Zitto at all, I love Chadema and Dr. Slaa is the man to trust.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hata maneno yako yanaonekana yakizushi,Mungu hasikizi anaemuombea mwenzie mabaya.Hili Jamaa sijui ni CCM?....acha zitto aambiwe ukweli bana anataka kutuharibia chama chetu makini na ninamuombea kwa nguvu zote 2015 akigombea ubunge kupitia CDM wampige chini bora tupoteze jimbo hilo itakua kheri maaana huyu jamaa sioni dira yake sasa Zitto sasa kawa Zigo kwa Chadema Eeeee mola tuepushe na balaa hili.
Matumbo yamejaa jindanganye...kuna trilion 16 ziko nje na bado wanapiga dili mpaka za mikaa...