Baadhi ya wabunge wa CCM na Upinzani wadaiwa kuhongwa na menejimenti ya TANESCO

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,599
3,673
Leo kibao kimemgeukia sana ndugu Zitto na akina Ole Sendeka na wabunge Kadhaa wa CCM walipewa hongo ili kuitetea menejimenti ya tanesco, this is another setback deadlock kwa zitto ajiangalie Mara mbili anapotoa matamko hata wenzake poac wamemruka kabisa hawajawahi kuitetea menejimenti ya tanesco.
Hapo ndo nashindwa kabisa kuelewa faida ya elimu ktk siasa.

Mh. Sifahamu kama una elimu kubwa lakini kwa kuwa nimesikia unasoma Ph.D. somewhere, nimeamini unataka kuongeza elimu, lakini kwa haya niliyoyasikia Bungeni na kwa kuwa siku za nyuma tuliwahi kukuzoza hapa JF kwa support yako juu ya Tanesco na mpango wao wa kununua majenereta, nashindwa kuamini umakini wako. Utaharibu sifa ya Ph.D, ni bora u-download cheti kama wengine walivyofanya.

Which reasonable asset of ideas do you still have to offer to the public following all these revelations? Are you the same person you once struggled to outweigh Hon. (then) Slaa?

Is it true that you are a typical example of majority who fail to separate power and prostitution?

I believe, this is a fissure in your political ambition. You are likely to fall somewhere, obtusely.

Tunakunyooshea mkono kuliko yeyote kwa sababu wewe ni CHADEMA. Chama ambacho wengi wamekiona ni kama regulator wa matatizo ya wanyonge. What other bad words should make you understand our dissatisfaction? Mbunge kijana gani wewe?

Ni hivi mwenzetu,

Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa na tatizo ktk Wizara ya Nishati na madini. tatizo lenyewe ni la umeme, Tanesco. Baada ya waziri mpya kuingia kafumua mambo mengi sana lakini kubwa ni kwamba kumbe Tanesco wamekuwa wakiunda upungufu wa umeme kwa makusudi ili waanze kutumia pesa za shirika vibaya ktk kununua mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya ziada, ili kufidia upungufu huo. Pesa wanazozitengeneza ktk manunuzi hayo wanagawana.

Hadithi zinaeleza pesa hizo zinafahamika hata ndani ya kamati ya bunge ambayo inaongozwa na Mh. huyu. Bunge leo limesema na kuzomeya "Zitto", pale Mh. mmoja alipolaani mafisadi walioshirikiana na Tanesco.

Siku chache zilizopita pia Mkurugenzi mkuu wa Tanesco alisimamishwa kwa ufisadi. Ajabu Mh. huyu ndo wa kwanza kusema kaonewa. Tulitegemea yeye awe wa kwanza kufahamu undani wa ufisadi huo.

Lisemwalo lipo. Wiki hizi za bajeti ilisikika kwamba kuna wabunge walishajipanga kuwakataa viongozi wa Wizara hii kwa sababu tu eti wameigusa Tanesco. Yaweza kuwa kweli maana magazeti yameandika yakieleza kwamba Rais ana imani na uongozi wa wizara, ikiashilia kuna kundi fulani halina imani nao. Kama ni hivyo baadaye kuna jambo au mawasiliano yaliyofanyika kati ya wabunge maana jioni ya leo sasa bunge limekuwa kama uwanja wa Taifa. kwa pamoja kila aliyesimama kulaani uongozi wa Tanesco, alishangiliwa kama gori la ushindi.

Sisi JF tuliwahi kuhoji uhalali wa Mh. Zitto kuitetea Tanesco ilipokuwa inapanga kununua majenereta (nadhani ni yale ya Dowans) ili kufidia upungufu wa umeme. Sasa kumbe hata upungufu huo umekuwa ukitengenezwa!

Tuseme nini juu ya Mh huyu? na hasa gharama ya imani aliyokuwa amepewa na watu?
 
hizi shutuma za yeye kupewa hela ili kutetea maslahi flani ndani ya tanesco mbona zitto hazikanushi? mpaka tunaanza kufikiria ni za kweli...kuna wakati nafikiria cdm inaweza kuja kua worse than ccm..mana bora ccm wameshakula matumbo yamejaa wakiingia watu ambao wana njaa na wao wanataka kushiba itakuaje
 
Nimesikia bungeni sasa ivi wakimtuhumu kuwa kuna mbunge anausika na kutetea uozo...wabunge wa ccm wanashangilia..ebu nijulisheni jamani anaesemwa ni nani?? sababu ishu nimeikutia kati,alafu wanatumia mafumbo.
 
Lakini angalieni nchi hii inavyoongozwa the issue is so serious for the negative impact to the growth of our Nation economy and we as citizens of this Nation are taking and discussing very lightly. Should we have one voice that demanding all those implicated in the matter to be prosecuted in the court of law?
 
Zitto na kukubali sana lakini imani juu yako inapungua kila kukicha.
Zitto umeingia kwenye mtego, nilisema kila siku zitto haiwezekani wana ccm wakuchekelee walikuwa wana kutafuta ili wakunyamazishe.
Hizi zinaweza zikawa shutuma tuu, tusubiri tuone ukweli.

Na kwanini hukanushi?
 
hii ni hatari kama kuna wabunge wanahongwa sijui kama tutafika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hizi shutuma za yeye kupewa hela ili kutetea maslahi flani ndani ya tanesco mbona zitto hazikanushi? mpaka tunaanza kufikiria ni za kweli...kuna wakati nafikiria cdm inaweza kuja kua worse than ccm..mana bora ccm wameshakula matumbo yamejaa wakiingia watu ambao wana njaa na wao wanataka kushiba itakuaje

Falsafa ya hovyo kabisa,kwani hata matumbo yakijaa hawaendi tweileti?bongo bana.
 
PhD ebu ielezee vizuri

Katika kikao cha paryt caucus ya CCM juzi usiku ambapo bwana maswi alihudhuria pia, aliwataja kwa majina ole sendeka na na sarah msafiri wabunge wa ccm kuwa walimuomba rushwa ili watumie hizo fedha kuwashawishi wabunge wa upinzani ambao ni makina akina zitto na mnyika, kafulila and others ili wanyamaze wasiipinge bajeti.

Kilichomponza Zitto ni kauli yake ya mwanzo kabisa baada ya Menejimenti ya TANESCO kusimamishwa ambapo yeye alitoa opinion kuwa sio haki kuwasimamisha bila uchunguzi hapo ndi walakini unaibuka juu ya uhusiano wake na muhando.
 
Leo kibao kimemgeukia sana ndugu zitto na Akina ole sendeka na wabunge Kadhaa wa ccm walipewa hongo ili kuitetea menejimenti ya tanesco, this is another setback deadlock kwa zitto ajiangalie Mara mbili anapotoa matamko hata wenzake poac wamemruka kabisa hawajawahi kuitetea menejimenti ya tanesco.

NI UKWELI USIO NA KIFICHO KUWA:

i. Zitto ni mnafiki mkubwa(papa wa unafiki).
ii.Zitto ni FISADI papa.
iii.Zitto ni mwongo mkubwa.
iv.Zitto ni janga kwa CHADEMA.
v.Zitto ni janga la kitaifa.

Amen
 
hizi shutuma za yeye kupewa hela ili kutetea maslahi flani ndani ya tanesco mbona zitto hazikanushi? mpaka tunaanza kufikiria ni za kweli...kuna wakati nafikiria cdm inaweza kuja kua worse than ccm..mana bora ccm wameshakula matumbo yamejaa wakiingia watu ambao wana njaa na wao wanataka kushiba itakuaje

Matumbo yamejaa jindanganye...kuna trilion 16 ziko nje na bado wanapiga dili mpaka za mikaa...
 
Leo kibao kimemgeukia sana ndugu zitto na Akina ole sendeka na wabunge Kadhaa wa ccm walipewa hongo ili kuitetea menejimenti ya tanesco, this is another setback deadlock kwa zitto ajiangalie Mara mbili anapotoa matamko hata wenzake poac wamemruka kabisa hawajawahi kuitetea menejimenti ya tanesco.
Inategemea Zitto anawatetea Tanesco kwa nini maana kwenye matatizo ni Wizarani, ofisi ya rais na waziri mkuu walioingia Mikataba feki lakini hawatakiwi kupelekwa mahakamani ati wakipelekwa wao chama CCM kitasambaratika.. Mnachokiona nyie ni kuwachukua kina Mhando na uongozi wa Tanesco kwenye sheria maadam chama hakiwezi kusambaratika, na ndio njia ilokubaliwa na wengi.. Ujinga gani huu..
Katika hili nipo na Zitto na kina Sendeka (tokana na maelezo ya Sendeka) Mnakinusuru chama kwa sababu gani haswa?
 
ANOTHER BIG BIG SCANDAL 4 ZITTO...huyu ni zandiki.NDO MAANA TUNASEMA HATA HUKU CHADEMA TUSHAMTAPIKA.
 
Back
Top Bottom