Azam TV (Sinema zetu) itoeni hii tamthilia ya Nazi Bubu

The Transporter

JF-Expert Member
Aug 26, 2016
3,478
6,885
Niende kwenye moja kwa moj kwenye mada binafsi sio mpenzi sana wa kuangalia tamthilia kutokana na kuchelewa kurudi kutoka kwenye majukumu.

Ila kutokana na hiki kipindi cha sikukuu toka pasaka mpk sasa tunasubiria Idd nimepata muda wa kukaa kidogo kwenye tv na familia aisee tamthilia ni moja ya tamthilia mbaya kabisa wametumia waigizaji wazoefu ila story haieleweki yaani kifupi imepooza sana nilizoea zamani kuangalia tamthilia za JB ni tamthilia zinazofundisha ila hii sijui hata inafundisha nini!!

Yule Binti mule nadhani niliwahi kumuona clouds media kama sio kwa Millard ayo kama mtangazaji nimeshangaa sana kumuona eti na yeye anaigiza halafu mbaya ni kama hajui anachoigiza kifupi ni bored tamthilia
 
Wafanye tuweze kufunga baadhi ya chanel km hutaki mtu atizame Azam please.
 
Kweli tunatofautiana, mimi sijawahi kupitwa na episode hata moja, naipenda Sana hasa kipande cha gengeni.
Mimi siipendi Toboa tobo tu
 
Niende kwenye moja kwa moj kwenye mada binafsi sio mpenzi sana wa kuangalia tamthilia kutokana na kuchelewa kurudi kutoka kwenye majukumu.

Ila kutokana na hiki kipindi cha sikukuu toka pasaka mpk sasa tunasubiria Idd nimepata muda wa kukaa kidogo kwenye tv na familia aisee tamthilia ni moja ya tamthilia mbaya kabisa wametumia waigizaji wazoefu ila story haieleweki yaani kifupi imepooza sana nilizoea zamani kuangalia tamthilia za JB ni tamthilia zinazofundisha ila hii sijui hata inafundisha nini!!

Yule Binti mule nadhani niliwahi kumuona clouds media kama sio kwa Millard ayo kama mtangazaji nimeshangaa sana kumuona eti na yeye anaigiza halafu mbaya ni kama hajui anachoigiza kifupi ni bored tamthilia
Mkuu siku 2 tu umeona haifai?
 
Back
Top Bottom