Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

inasikitisha sana..mi nasikitika misiba itakavyofululiza huku kwa sisi wananchi, ila kiukweli naunga mkono msimamo wa madaktari, Mungu awafanyie wepesi mpite salama katika hili bila madhara.
 
Serikali dhaifu, Rais dhaifu na chama dhaifu ............ Hayo ndio matokeo yake wa Tz wataumia sababu ya udhaifu
 
Njia ya mwongo ni fupi na ukweli utabakia kua ukweli siku zote. Mr.DHAIFU na USANII wake sasa utakifika kikomo hv karibuni.Kikwete ni DHAIFU AKILI NA MWILI PIA!!!! huo ndo ukweli japo MADHAIFU wenzake hawataki tu kuukubali japo ukweli wanaujua!
 
Naunga mkono hoja ya mgomo wa madakatari maana serikali hii dhaifu inayataka yote haya, haiwezi kutenda mpaka watu walazimishe na hili watasema madaktari ni CDM.
 
Mzee mwanakijiji hapo naona kuna technical success or failure ya timing ya mgomo wa madaktari. serikali yaweza kujitetea kua madai yao yatazingatiwa katika bajeti itakayosomwa hivi karibuni. Ikumbukwe kua mama Sitta alishaikataa bajeti ya waziri wa afya hivyo kumlazimu waziri kwenda kuifanyia marekebisho ili kukidhi hoja za madai ya madaktari. Hii itasababisha mgomo ukose nguvu katika hatua za awali. Kwa upande mwingine inaweza kua ni technical approach ya kuilazimisha serikali kuzingatia madai yao kwenye bajeti tunayoisubiria. Time will tell!
mbona kamati ya mama sitta imeshapitisha hiyo bajeti,ccm wasanii sana.
 
Ni taarifa toka kwa Waziri wa Afya Hussein Mwinyi:

Mambo watakayo watekelezea ni

Kadi ya Green Card

Posho toka 10,000- 15,000

Uchunguzi wa maiti toka 50,000 - 100,000

Ila habari za mshahara serikali imekiri kushindwa haiwezi kuwalipa 3,500,000
 
ila hawa jamaa mi naona wajifunze tu manake kipindi kile waligoma wakaambiwa waungane na kuihusiha chadema kudai haki, waka anza kuuma vidole, sasa yamewakuta, sijui watawarudia?????????
 
abuja declaration kuhusu bajeti za serikali ikitaka kufikia 2015 bajeti ya serikali 15% iende kwenye uboreshai wa huduma za afya.sasa kama watanzania tujiulize je lengo hili litafikiwa lini?
Ukiangalia mpango wa maendeleo wa miaka mitano afya haijawekwa kwenye kipao mbele hivyo ni wazi serikali imepuuzia azimio la abuja,hili liko wazi kabisa katika bajeti ya mwaka huu.
Kwa hiyo ni haki kabisa kwa madaktari kugoma ili kushinikiza azimio la abuja.
Isitoshe serikali iliahidi kutatua swala la mgomo wa madaktari sasa iweje leo hii tuendelee kuwa na mgomo?
Naungana na mnyika kuwa 'udhaifu' wa jk ni chanzo cha matatizo nchini.
 
ila hawa jamaa mi naona wajifunze tu manake kipindi kile waligoma wakaambiwa waungane na kuihusiha chadema kudai haki, waka anza kuuma vidole, sasa yamewakuta, sijui watawarudia?????????
no politics!
 
Mwinyi kabariki mgomo wa madr, kupeleka swala tume ya usuluhishi ili hatua za sheria zifuatwe ikiwamo mahakama ya kazi
 
Back
Top Bottom