Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

inafanyika kwenye muda mzuri sana. Tuone kile chama chenye mzinzi class 1 na mbaka mtoto mdogo mwenye tumbo kubwa kama ana mimba ya watoto 20 watalalia upande upi wa budget!
 
Daah, watanzania wasio na hatia wataangamia bure kisa serikali haitaki kuwa sikivu kama inavyojinasibu. Kikwete Kikwete zuia maisha ya wananchi wako wasio na hatia kwa kutekeleza madai yao. Watu humu huwa wanasema wanaoenda Ikulu huwa wanaenda kunywa juice na chai, huenda na JK huamini hivyo kuwa madaktari walivyomuendea walifuata juice

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
je hiki kiini macho cha bajeti kinachoendelea huko bungeni kimegusia swala la afya.
au ndio tubakie kusema mradi huu ni kwa hisani ya watu wa marekani??
 
Huu ni Udhaifu mkubwa zaidi wa serikali kuchezea uhai wetu, na ccm sasa inachofanya nikuwakomoa wananchi
 
inafanyika kwenye muda mzuri sana. Tuone kile chama chenye mzinzi class 1 na mbaka mtoto mdogo mwenye tumbo kubwa kama ana mimba ya watoto 20 watalalia upande upi wa budget!

We jamaa bana.. sasa nini hivo kuvunjana mbavu usiku wote huu?
Tedo like this.
 
Naungan nao hii michezo ya kuchezea watalaamu wetu ikomeshwe hata kama kipindi hicho nitaugua nakufa niteenda ahera kwa amani kwani nitakuwa sadaka ya mabadiliko
 
Imani Kondo 'Zemacopolo" wewe daktari mzima unakuwa mnafiki.Unaelewa nini kilichojadiliwa, halafu unasema haujui contents.Unalipwa na nani kuirudisha nyuma harakati hizi muhimu?Au sababu ulisomeshwa bure Czech?
 
Kama majadiliano yalikuwa yanafanyika kwa siri, hatuwezi kujua nini zilikuwa contents za makubaliano hayo na for the same reason it doesnt make sense kuunga mkono mgomo. Kwanza madaktari walete details za majadiliano yao na serikali. Wamejadili nini, wameshindwana wapi?

Imani Kondo 'Zemacopolo" wewe daktari mzima unakuwa mnafiki.Unaelewa nini kilichojadiliwa, halafu unasema haujui contents.Unalipwa na nani kuirudisha nyuma harakati hizi muhimu?Au sababu ulisomeshwa bure Czech?
 
Natambua kabisa mimi ni binadamu mwenye uhai na ambae uhai wangu unaweza kutoweka kwa maradhi au hata ajali au hata kuvamiwa ama kwa njia nyingine yoyote ili mradi ni njia inayopeweza kupelekea kupoteza uahi wangu hasa pale nitakapohitaji tiba ili niweze ku-rescue maisha yangu.na mbaya zaidi kwa upande wangu mimi ni kati ya watanzania wanaoishi maisha ya daraja la sita kama lipo,and this is serious,i am not joking.
Nasema hivi ma-doctors if you are real serious,please,please kwa nini mgome tarehe 23/06/2012,kwa nini isiwe kesho tu!mimi niko upande wenu kama mwanzo,rejeeni post zangu.aidha napata mashaka kama mko serious na jambo hili kutoa muda mwingi hivi yatawakuta ya mwanzo,hii ni kusubiri kulaghaiwa kama mwanzo,chonde chonde anzeni kesho wandugu.niko tayari kuwapa strategy za kukwepa ulaghai wa serikali,mkumbuke hata mwanzo niliwa-caution,mwisho wa siku hamkunisikiliza mkaenda kukutana na mtoto wa mkulima.
Nashauri muanze kesho,tena muwe na tahadhali na wasaliti,wengine wapo hapo Moi tena ni kijana tu,yeye ni magamba damu,nitawatajia jina lake na anapokaa mkihitaji.
Karibuni kwenye ukombozi wa kweli.
 
Imani Kondo 'Zemacopolo" wewe daktari mzima unakuwa mnafiki.Unaelewa nini kilichojadiliwa, halafu unasema haujui contents.Unalipwa na nani kuirudisha nyuma harakati hizi muhimu?Au sababu ulisomeshwa bure Czech?

kitu kizuri ni kuwa madaktari waliwatuma wajumbe wao kwenye majadiliano,wakasubiri mchakato,wakasubiri majibu lakini majibu hayajawaridhisha na sasa wametangaza mgomo mwingine.ni ukweli usiopingika kuwa serikali ilitumia au itaendelea kutumia mamluki,bahati mbaya mbinu zote hizo zimejulikana.
 
inasikitisha kuona jambo la namna hii linatokea mara tatu.Nafahamu serikali ilifanya makosa kumpa iddi simba kuwa mwenyekiti wa ujumbe wa kamati ya usuluhishi,haya ndiyo matunda yake.kwanza zee lenyewe la dar salaam lina kesi ya kifisadi busara litatoa wapi?


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
je hiki kiini macho cha bajeti kinachoendelea huko bungeni kimegusia swala la afya.
au ndio tubakie kusema mradi huu ni kwa hisani ya watu wa marekani??

Even with the new face (Dr Mwinyi) imeshindikana kupata muafaka?
 
Madaktari nawaunga mkono, raisi wetu ni dhaifu hasikii hadi watu wafe sasa aonyeshe kama yehe si dhaifu atatue mgogoro huu
 
Lakini mwanzoni waliingizwa mkenge wakakubali sasa wamegeukwa tena; loh "don't mess with politicians'
 
Yafuatayo ni madai ya madaktari na majibu yaliyotolewa na serikali.

Kupandisha mishahara,
Bajeti ni finyu, kuwaongezea madaktari mishahara kutaongeza migogoro ktk secta nyingine,

Bima ya kijani kwa watumishi wa afya
serikali itaendelea na mazungumzo na mifuko hii, ili kuona kama wataboresha.

Risk allowances
serikali itatoa chanjo ya homa ya Ini(Hepatitis B) tu, nayo watapewa kwa awamu kutokana na ufinyu wa bajeti.

Hardship allowances
S
erikali inaboresha miundombinu katika sehemu zenye maisha magumu,

House allowances
serikali inajenga nyumba ktk halmashauri 70 za watumishi wa umma hata madaktari wakiwemo.Hata hivyo sio madaktari wote watapata.

Malipo ya kuitwa kazini usiku
S
erikali itaendelea kuliopa Tsh 25000 kwa daktari bingwa, 20000 kwa madaktari na Tsh 10000 kwa kada nyingine mpaka hapo bajeti itakaporuhusu.

Madaktari kukopeshwa magari
wafanyakazi wa serikali kuu wataanza mpango huo ktk bajeti ya 2011/2012.
 
Yafuatayo ni madai ya madaktari na majibu yaliyotolewa na serikali.

Kupandisha mishahara,
Bajeti ni finyu, kuwaongezea madaktari mishahara kutaongeza migogoro ktk secta nyingine,

Bima ya kijani kwa watumishi wa afya
serikali itaendelea na mazungumzo na mifuko hii, ili kuona kama wataboresha.

Risk allowances
serikali itatoa chanjo ya homa ya Ini(Hepatitis B) tu, nayo watapewa kwa awamu kutokana na ufinyu wa bajeti.

Hardship allowances
S
erikali inaboresha miundombinu katika sehemu zenye maisha magumu,

House allowances
serikali inajenga nyumba ktk halmashauri 70 za watumishi wa umma hata madaktari wakiwemo.Hata hivyo sio madaktari wote watapata.

Malipo ya kuitwa kazini usiku
S
erikali itaendelea kuliopa Tsh 25000 kwa daktari bingwa, 20000 kwa madaktari na Tsh 10000 kwa kada nyingine mpaka hapo bajeti itakaporuhusu.

Madaktari kukopeshwa magari
wafanyakazi wa serikali kuu wataanza mpango huo ktk bajeti ya 2011/2012.

kigezo cha utaoji wa chanjo hii kitazingatia nini?mbona kampeni za chanjo hazitolewi kwa awamu?


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Back
Top Bottom