Yafuatayo ni madai ya madaktari na majibu yaliyotolewa na serikali.
Kupandisha mishahara,
Bajeti ni finyu, kuwaongezea madaktari mishahara kutaongeza migogoro ktk secta nyingine,
Bima ya kijani kwa watumishi wa afya
serikali itaendelea na mazungumzo na mifuko hii, ili kuona kama wataboresha.
Risk allowances
serikali itatoa chanjo ya homa ya Ini(Hepatitis B) tu, nayo watapewa kwa awamu kutokana na ufinyu wa bajeti.
Hardship allowances
Serikali inaboresha miundombinu katika sehemu zenye maisha magumu,
House allowances
serikali inajenga nyumba ktk halmashauri 70 za watumishi wa umma hata madaktari wakiwemo.Hata hivyo sio madaktari wote watapata.
Malipo ya kuitwa kazini usiku
Serikali itaendelea kuliopa Tsh 25000 kwa daktari bingwa, 20000 kwa madaktari na Tsh 10000 kwa kada nyingine mpaka hapo bajeti itakaporuhusu.
Madaktari kukopeshwa magari
wafanyakazi wa serikali kuu wataanza mpango huo ktk bajeti ya 2011/2012.
Yafuatayo ni madai ya madaktari na majibu yaliyotolewa na serikali.
Kupandisha mishahara,
Bajeti ni finyu, kuwaongezea madaktari mishahara kutaongeza migogoro ktk secta nyingine,
Bima ya kijani kwa watumishi wa afya
serikali itaendelea na mazungumzo na mifuko hii, ili kuona kama wataboresha.
Risk allowances
serikali itatoa chanjo ya homa ya Ini(Hepatitis B) tu, nayo watapewa kwa awamu kutokana na ufinyu wa bajeti.
Hardship allowances
Serikali inaboresha miundombinu katika sehemu zenye maisha magumu,
House allowances
serikali inajenga nyumba ktk halmashauri 70 za watumishi wa umma hata madaktari wakiwemo.Hata hivyo sio madaktari wote watapata.
Malipo ya kuitwa kazini usiku
Serikali itaendelea kuliopa Tsh 25000 kwa daktari bingwa, 20000 kwa madaktari na Tsh 10000 kwa kada nyingine mpaka hapo bajeti itakaporuhusu.
Madaktari kukopeshwa magari
wafanyakazi wa serikali kuu wataanza mpango huo ktk bajeti ya 2011/2012.
bajeti ya afya badala ya kuoengezwa,inapunguzwa kana kwamba yaliyotokea ni sinema.