Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
na alivonenepeana kama mdudu OMG!!!!
hivi kagombana na gym?....halafu mavazi yake ni full mchemsho...cjawahi kumuona yule dada akiwa amependeza/smart.
na alivonenepeana kama mdudu OMG!!!!
We ulivonenepeana mbona sie hatukusemi?na alivonenepeana kama mdudu OMG!!!!
We ulivonenepeana mbona sie hatukusemi?
hivi kagombana na gym?....halafu mavazi yake ni full mchemsho...cjawahi kumuona yule dada akiwa amependeza/smart.
kuna kunenepa kiafya na kwingine ugonjwa....sasa mrembo yule kawa kama gunzi heeeee!!!! minyama uzembe......wee hapa fulu afya!!!!!!!
Kama mme wake ndio anapenda awe hivyo we kinakukera nini! Shut up kabla sijakuchenjia!
hahaaaaa yamekuwa hayo...and where is that freedom of speech mweeee!!! hebu nichenjie nipate fleva kwanza maana sijui unakuwaje ukichenji hahaaaa Iribini weye!!!
ndo maana nimejiunga JF kwa sababu yako
Hahaha! SENKSI! Nikitoka tutatoka wote?
Sema tu ulichikichia glasi ukastukiwa!tatizo we mapema sana, tangulia basi nikukute b/point (ila napaogopa niliwatapeli siku moja huduma ilikua mbovu nikasepa na chenji)
Sema tu ulichikichia glasi ukastukiwa!
mambo ya glasi ni enzi za koleji bana!!!!!!!
Jasiri haachi asili lakini usisahau!
..Nyamayao si unajua radha hutofautiana kutoka mtu mmoja mpaka mwingine? Sasa hicho kivazi mimi hata angekuwa ndio mamsapu ni ruksa tu kwani macho yakiona ndio nini?? Vinginevyo kama uliugua ukurutu then uko kama yule chui wa serengeti lazima hutopenda tuone ndani mwako kidogo. Lakini huyo Aunt hebu cheki hilo liusafiri, mipaja hiyo, kifua kimetulia jamani maisha si ndio haya au kuna mengine? Si wengine hizo ndio burudiko letu ati..Kwa kweli mimi pressure yapanda na kushuka nimeprint hizo picha tena za rangi haki ya mama ni hatari kabisa! acheni bana nyie!hatupondi jamani, kama cc wadada humu mavazi yake tu hayajatupendeza...ni mdada mzuri akijictir.
Mfuate Jack Pemba ndiye anaweza kukujibu hilo swali lako.nasikia huyu ni shemale....plz msaada wenu...
Lord Have a mercy........mwenye contact zake pls PM me zawadi nono kutolewa...