Mkuu the Boss nadhani ni kuunge mkono katika hili !!!! Hawa si watu wa kutazama hata kidogo na mwingine ni Lady Jey Dee..!! Hata kutazama filamu zao sipendi wala kwenda kwenye miziki yao , Nikiwa ndani ya Bus wakiweka filamu au nyimbo zao huwa napata kichefu chefu kibaya utadhani nilikuwa kwenye bembea kama lile la Jamaica !!! Huwa naombaga wazime au wanipatie pillow nijifunike nisione wala kusikia..Sipendi Vicheche hao..!!!!
mbona sio hata mkali ki viiile!!!
hey umerudi??? vipi yule aliondoka kule home au bado tukatoe sapoti kwa mama(jamani sore ofu topiki ila nimeshindwa kujizuia)
mbona sio hata mkali ki viiile!!!
Lily usiwalie yamini hao wenzio ambao wako kwenye entertainment na hospitality sectors kwani hiyo inayoitwa tabia mbaya ndio signature ya shuhuri wanazofanya; sawa kama usemavyo kuwa sio wote lakini wengi katika hao huchunwa ili waendelee na vibarua vyao, na hiyo ndiyo wahenga wanaiita tabia mbaya!!!!Sio wote wenye tabia mbaya kuna wengi tu nawafahamu wanatabia nzuri na wako kwenye fani za music, film, miss etc. I repeat SIO WOTE.
Mtake radhi tafadhali.bht is proud to be SHE.nimerud kaka.nimefika juzi usiku na nimechelewa hata kuhudhuria mazishi ya mzee mfaume kawawa.
yule aliyekatalia home alishaondoka nilisaidiwa sana na mdogo wangu eduardo, polisi na majirani.binafsi sikutia mguu home kabisa.
ukwen hawajambo wote
kwanini mnamuita Aunt Ezekiel?
mnyonge mnyongeni ila mvuto anao
inawezekana asiwe mkali ki vile kwako lakini kuna wengine wanamfia. inategemea na type zako.
..Mh! Uchafu wa aina gani mkuu? Mbona vile vingine huwa vinasafishwa na tunaendelea kuvitumia tu? Toto liko bomba lile mkuu acha masikhara.ni kweli ni msichana mzuri.....
Angekuwa sio mchafu hata mimi ningemtamani.
Mtake radhi tafadhali.bht is proud to be SHE.
Mtake radhi tafadhali.bht is proud to be SHE.
njema kaka! bila shaka sijakosea.Ubarikiwe kwa kuwa mtii.nime mp tayari na kumtaka radh.na ameaksepti kabisa.
habari za jion!
Jamani huyu mwanadada akivaa nguo za heshima atakufa?
Au urembo wake hauta onekana??
Almasi inakaaa ardhini lakini watu wanajua ilipo..
Hata yeye kama ni mzuri atawaka hata akivaa nguo za heshima.
Sasa sijui kwanini hajiamini?