Askofu Kulola: Kuna mtandao wa kisiasa makanisani

Kama ni kweli, basi maandiko yanatimia tu! kuwa Wa kwanza atakuwa wa mwisho na mwisho atakuwa wa kwanza. Kutegemeana na atakayosema, Askofu alikuwa wa kwanza kuupata wokovu lakini kwa kitendo kama hicho mi kwa mtazamo wangu na fikra zangu atakuwa wa mwisho kuuona ufalme.
 
kama serikali ya CCM ingekuwa inawajali wananchi na kutumia rasilimali za taifa kwa faida ya Watanzania wote , hata mimi ningemsupport M Kulola, lakini anajua kabisa Serikali ya CCM ni ya wachache na yeye ni mtu wa mungu, anashindwaje kulijua nhili, inakuwaje anakuwa raisi kununulika, afterall huyo ana mvuto kwa Watanzania na hii FAIL kwa CCM, Kulola angeangalia mfano wa Dr Mokiwa aliyezikataa millioni kumi pale Dom?
 
Ni Jambo la kushangaza sana kwa mzee kama Kulola kuchezewa akili na vijana wadogo kama hawa. Miaka ya sabini wakati Moses Kulola akiwa bado ana nguvu sana alikuwa akiheshimika sana lakini kuna mahali aliteleza na kupoteza nguvu zake ndipo aliyekuwa mfuasi wake wakati huo, Zakaria Kakobe, akaibuka na kuwa kama anavyofahamika leo. Kwa muda mrefu mzee huyu alikuwa kama kapotea kabisa ndipo alipokuja ibuliwa tena na Kakobe mwanazni mwa miaka ya elfu mbili na kumfanya ajulikane tena. Lakini kumbe watu hawa nao ni njaa tu. Mungu apitishie mbali wahubiri wa namna hii. Angekemea vitendo vivyo na kukaa pembeni na siasa angeheshima ila hii kukemea halafu baadaye anaonekana anatumiwa na upande fulani inakua hajafanya lolote kwani hata aliowakemea watamuona kuwa alikuwa anaongea kwa sababu ya njaa tu.


Na kwa upande wa CCM kutumia hela hovyo hovyo kusudi warudi madarakani inakuwa nayo ni aibu kwa chama kilichotawala kwa miaka yote hiyo kushindwa kuendesha kampeini kwa kutumia rekodi yake, badala yake wanatumia hela kama mafisadi wanavyofanya kuzuia haki isitendeke. Matumizi makubwa ya hela yanayofanywa na CCM niyo sululu inayowachimbia kaburi linaloweza kuzika hata wasiohusika na hali hiyo.

Ninaloogopa zaidi ni ile inflation itakayofuata baada ya uchaguzi huu. .. MY EYES!!! (yangu macho!!)
 
Chonde Chonde Mzee wetu Askofu Kulola, kwa unyenyekevu mkubwa sana nakuomba unyamaze kimya kwa sasa. Wewe ni public figure kila utakachosema kinapimwa kwa kila aina ya vipimo. Afadhari ukinyamaza kimya hutaonekana kuwa biased. kuendelea kuzungumzia publicly mambao ya siasa kwa namna ulivyofanya utachafua huduma yako ambayo kwa miaka mingi imepata kibali miongoni mwa wananchi.
 
Nachelea kuinua mdomo wangu kumhukumu mtumishi wa Mungu. Mungu atashughulika naye endapo ataenda nje ya misingi yake. Aaamein
Tumwache afanye atakayo lakini sisi tunajua dhamira zetu na mtu tumtakaye.
Njia ya haki ni ndefu yenye vikwazo vingi lakini hatimaye tutafika
 
Askofu Kulola sasa kutumika katika TV kumsadia JK


askofu.jpg

Siku chache baada ya Askofu wa makanisa ya Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Mosses Kulola, kutamka kuwa kuna mtandao wa kisiasa makanisani ambao unampigia debe mmoja wa wanasiasa nchini.

CCM imeamua kumtumia katika Kampeni za lala salama kujaribu kubadili mtazamo wa Wakristu kwa kumtuma Paschal Mayala kupitia kampuni yake kumrekodi ili watengeneze kipindi maalum ambacho kitalipiwa na CCm na kurushwa Star TV, TBC na ITV.

Uamuzi huo umefikiwa na Kikao cha Familia baina ya Ridh 1, Miraji na Bibi na Bwana jakaya Kikwete baada ya kukubaliana na mtoto mmoja wa Askofu huyo na kuelezwa kuwa akaongee na Askofu na wao CCM watamlipa.

Baada ya mazungumzo hayo kufikiwa jukumu la kumlipa fedha Kulola amekabidhiwa Waziri Ngeleja mkoani Mwanza ambapo jana amewasiliana na Askofu huyo kwa faragha na kumkabidhi mzigo wake na leo Paschal Mayala anasafiri kutoka Dar kuja Mwanza kwa kazi hiyo ya kutengeneza kipindi maalum.

hana mvuto
 
Huu ndio wakati mwafaka wa mabadiliko Tanzania, hata kama sisiemu itatetewa na viongozi wa dini.Watu wakichoka wamechoka.Pamoja na jitihada zote za kulazimisha saaaaana KIKWETE akubalike UKWELI TANZANIA HAIMUHITAJI KIKWETE KWA SASA.
 
CCM wanatapata hadi kumingiza Askofu katika genge la Wanaomaliza hazina na urithi wa Taifa pasi na yeye Askofu kujitambua? Ama kweli maandiko yanazidi kutimia...Ni Yuda Eskarioti aliweza kufanikisha hili kwa tamaa ya fedha na hatimaye alilia machozi lakini ilikuwa too late, hukumu yake ilikuwa imeshaandikwa...alijiua mwenyewe! Na Mzee huyu achukue tahadhari...majuto yanamsubiria kwa kilio cha watanzania anaowauza kwa vipande vya fedha
 
Mabadiliko yaliasha take off no return. Ndege itatua salama na Dr.Slaa ndiye Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Hata watumie mbinu mbofu mbofu bado katika mioyo ya Watanganyika walishafanya maamuzi sahihi. Kilicho bakia ni Kura tu!!

CHAGUA CHADEMA CHAGUA DR.SLAA. DR. WAUHAKIKA.
 
kama ni kweli tutamwambia je Mungu wetu jamani?
CCM haiwezi kujivua kwenye gamba la rushwa uliokubuhu.
Kama endapo hapa jukwaa tukaifuata ccm na kuwaambia sisi ni wale wachangiaji nguli kule jf halafu tukaomba kiasi chochote cha funds kuisafisha at this last minutes walah THE FAMILY watalipa any cost. Umeona eeh jinsi ccm ilivyo taabani sasa?

Ila ole wake aliyekuwa anaipinga ccm halafu akajitokeza hadharani na kutaka kuiunga mkono. kisasi chake baada ya madudu yake ni kikubwa kuliko cha goliath.

Tumpe kura zetu dr. slaa
 
Mungu hana upendeleo.Pamoja kuwa ni mwenye upendo lakini ni Mungu wa haki, tunaomba na Mungu wa haki ataleta mabaliko tunayo ya hitaji. Kilio cha watanzania wengi kinajulikana mbele za Mungu, kama kweli kiongozi huyu kakosea namna hii, tutaomba Mungu amjalie rehema ya toba ili aendelee kupata neema na amalize mwendo wake vizuri.

Pamoja na mambo yote hatutaki kujuta mara ya pili, wakati wa Kikwete kuwa madarakani umekwisha.
 
kwa hiyo umesha hukumu kwa kuamini kuwa taarifa hii niya ukweli?!. Mie kwa sasa sina komenti mpaka nitakapo jiridhisha juu ya ukweli wa taarifa hii.

Nilimhukumu toka 2005 aliposema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu ilhali Kikwete ni mtu wa mizimu kwa mujibu wa mganga wake Sheikh Yahya, tuko pamoja?
 
Mabadiliko yaliasha take off no return. Ndege itatua salama na Dr.Slaa ndiye Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Hata watumie mbinu mbofu mbofu bado katika mioyo ya Watanganyika walishafanya maamuzi sahihi. Kilicho bakia ni Kura tu!!

Uzuri mambo yanakuja hapa nasi tunasambaza Tz nzima. kulola atakuwa amolwa kweli na habari yake ndio mwisho.PASCHAL MAYALA WEWE KATAYARISHE KIPINDI HALAFU UONE WHAT WILL HAPPEN after 31 October
 
The unafiki wa watu humu ndani is very pathetic. It is a shame yaani. Nobody bother to objectively discuss what Askofu has said (which is udini makanisani). And him being a leader of the kanisa, he is in the better position to comment about that kuliko sisi waosha vinywa humu ndani.

What is also astonishing, ni mtu kuweka comment (ambayo hajasema katoa wapi info) kwamba Askofu kalipwa na CCM. Yaani, you guys are running under the premises that Chadema can't do wrong. Unbelievable. And everything that is being said against Chadema is being discredited by the faithfuls in here.

This forum is slowly becoming useless and incredibly bias. Bias to the point that it is embarrassing. Mjinga kasema Askofu Kulola kahongwa (these are serious allegations) and the rest of clue less sheeps are happily commenting without even fact checking the author.
 
Kuhusiana na suala la kutenganisha dini na siasa sina shida kabisa na hilo, ninanaliunga mkono na mguu. Shida yangu inakuja hapa, anapotoa mfano ili kuipa nguvu hoja yake,. Kwanini anatoa mfano kwa JK tu, Yeye Mzee Kulola, nani amemwambia kuwa JK anapingwa kwasababu ya dini yake. Mara ngapi tumesikia na kuona watu wakiwapinga Prof. Lipumba na Dr. Slaa kwasababu za udini? Hilo mbona hajalizungumzia? Kama kweli yote haya yaliyoandikwa na gazeti la uhuru ameyasema yeye, basi nadhani kuna mahali amekosea. Alitakiwa aweke jukwaa linganifu kwa wagombea wote. Alafu kitendo cha kusema kuwa ibada zitaendela Jumapili kama kawaida nadhani ni kuwanyima haki ya msingi waumini wake. Ninavyzijua ibada za Ki-assemblies huwa zinaanza saa 2 mpaka saa 8 au 9, sasa huyu mtu atapiga kura saa ngapi ilhali vituo vinafungwa saa 10, kumbuka wengine vitio vyao viko mbali sana na makanisa yao. Anatakiwa akanushe kama hawa UHURU wametia chumvi.
 
The unafiki wa watu humu ndani is very pathetic. It is a shame yaani. Nobody bother to objectively discuss what Askofu has said (which is udini makanisani). And him being a leader of the kanisa, he is in the better position to comment about that kuliko sisi waosha vinywa humu ndani.

What is also astonishing, ni mtu kuweka comment (ambayo hajasema katoa wapi info) kwamba Askofu kalipwa na CCM. Yaani, you guys are running under the premises that Chadema can't do wrong. Unbelievable. And everything that is being said against Chadema is being discredited by the faithfuls in here.

This forum is slowly becoming useless and incredibly bias. Bias to the point that it is embarrassing. Mjinga kasema Askofu Kulola kahongwa (these are serious allegations) and the rest of clue less sheeps are happily commenting without even fact checking the author.

Udini makanisani kwa sababu anaguswa bosi wako? Spare us ur stupidity..Unalaumu watu kuhusu 'Kulola kulipwa na CCM' bila ushahidi, je wewe unao ushahidi wa 'udini makanisani'? Kama huna r u beta than everybody else? How about udini misikitini? Kwa sababu it is opposite and favors ur course eeh? Ule waraka wa waislamu ungekuwa umeandikwa na kuwa na negative impact kwene course yenu, nadhani it would take no time kuwashughulikia wote wanaohusika. U and I know this.
 
The unafiki wa watu humu ndani is very pathetic. It is a shame yaani. Nobody bother to objectively discuss what Askofu has said (which is udini makanisani). And him being a leader of the kanisa, he is in the better position to comment about that kuliko sisi waosha vinywa humu ndani.

What is also astonishing, ni mtu kuweka comment (ambayo hajasema katoa wapi info) kwamba Askofu kalipwa na CCM. Yaani, you guys are running under the premises that Chadema can't do wrong. Unbelievable. And everything that is being said against Chadema is being discredited by the faithfuls in here.

This forum is slowly becoming useless and incredibly bias. Bias to the point that it is embarrassing. Mjinga kasema Askofu Kulola kahongwa (these are serious allegations) and the rest of clue less sheeps are happily commenting without even fact checking the author.
SELEMANI ndugu yangu. hayo usemayo wameshajadili kwenye thread hii na nyingine liliyoanzishwa. just take time to roll on utazisoma comment za watu. ila hapa tunaangalia pia na usafi wa msafishaji. maana kama mpishi ni mchafu tegemea chakula kutoka mazingira siyo safi.
Unafiki ni kuzungumza kwa kufichaficha. mtumishi wa Mungu wa kweli anauwezo wa kumkabili ahata mfalme na kumwambia hayo ufanyayo ni USHETANI na yupo tayari kwa gharama ya kusema kweli. Sasa kama mtu anakuja na kusema kuwa kuna majukwaa ya siasa kwenye makanisa halafu hataji hayo makanisa na viongozi wake basi mtu huyo ni mwongo, mzandiki na mnafiki na yampasa JEHANAMU ya MOTO.
naomba usitupeleke kwenye udini maana hatutafikia muafaka wa nchi yetu bali tutatoboana macho.

Mungu akubariki, na umpe yesu maisha yako akuandalie makao MBINGUNI ndugu yangu SELEMANI
 
Mzee nilikuheshimu sana sana...ila kwa hili samahani sana. Na uangalie sana huu uzee wako usije kuishia pasipo. Umetuchefua kusema ukweli, i am christian, sina mlengo wowote wa kidini. Nadhani ulipaswa kutoa ushahidi na si kubwabwaja tu vile unavyojisikia.....By the way sioni tofauti yako na mjukuu wako...wote mmeosa mwelekeo hapa. Hapa hatuzungumzii suala la udini, tunaongea hali halisi, uwezo wa kiongozi anayeweza kutufikisha mahali Watanzania wote tunahitaji kufika kwa mustakabalri wa Taifa na vizazi vyetu....To hell let it Go.
Kumbuka: Ni jana tu taarifa nilizonazo ni kituo kimoja cha radio kuwatangazia wasikilizaji, na waumini wake (wamiliki) kuchagua viongozi wa imani yao. Zaidi ya yote ni pale napopita maeneo ya Kinodnoni Mchana wa saa 7, nasikia mahubiri ya kiongozi wa imani fulani akikashfu na kutukana kionngozi na mgombe urais wa imani tofauti na yake.....haya mbona hatusikii mkuyasemea...pumbavu sana.
 
The unafiki wa watu humu ndani is very pathetic. It is a shame yaani. Nobody bother to objectively discuss what Askofu has said (which is udini makanisani). And him being a leader of the kanisa, he is in the better position to comment about that kuliko sisi waosha vinywa humu ndani.

What is also astonishing, ni mtu kuweka comment (ambayo hajasema katoa wapi info) kwamba Askofu kalipwa na CCM. Yaani, you guys are running under the premises that Chadema can't do wrong. Unbelievable. And everything that is being said against Chadema is being discredited by the faithfuls in here.

This forum is slowly becoming useless and incredibly bias. Bias to the point that it is embarrassing. Mjinga kasema Askofu Kulola kahongwa (these are serious allegations) and the rest of clue less sheeps are happily commenting without even fact checking the author.

Hulazimishwi kuingia humu ,nenda huko kuna wakina michuzi nk utapata faraja
 
Back
Top Bottom