Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Watanzania!
Unajua huyu jamaa yetu bila fitna mambo hayaendi. Sasa ukisoma hiyo stori ya gazeti la uhuru kuhusu Kulola utaona kabisa ni story iliyojaa udini! Kwa sababu wanataka watu wa-conclude kuwa Kikwete anapingwa kwa ajili ya uislam wake na Dr Slaa amependwa kwa sababu ya Ukristio wake. Hizi zote ni technics za Kikwete baada ya kuona mambo si mazuri!
Uhuru ni nini? Kuna mtu bado anasoma uhuru.