luhala
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 412
- 142
Kwa hiyo hata wezi, vibaka, mafisadi na wahuni kama Lowasa wakabidhiwe tu nchi maadamu wana mipango ya "kuiendeleza" nch? Waambieni hao maaskofu wamteue kuwa "Rais" wa familia zao au wa jumuia zao!Ndugu zangu watanzania Nyerere hakuwa mungu wa Tanzania na si kweli kuwa bila nyerere Taifa la Tanzania lisinge pata uhuru,mie naona kuwa mtu ukiwa msomi Lowassa anafaa kuwa rais wa tz. Rais wa uchina wa kwanza aitwae Maotse Dong aliendesha fitna hadi kumfunga Den shaopin na kuua vijana wake, baada ya kifo chake miaka ya 1970's Den shao pin aliusaka urais na kuupata na kuondoa mifumo dume ya kijamaa na kula kiapo kuwa endapo mipango yake ikingonga mwamba anyongwe hati mae mipango yake ilifanikisha 1978 china ilifungua milango wageni waliingia uchumi ukakuwa hadi sasa china inaongoza kiuchumi Je lowassa pamoja na kashfa zote atashindwa? ifike mahali tusitumie mambo ya Nyerere kama S.I. UNIT za future leaders. Jamani tuacheni fitna tujue nani wa kutuongozaa.