Fred Lowassa: Askofu Mkuu mteule wa KKKT, Dkt. Malasusa amekuwa nasi wakati wote tulipopitia Matatizo, tunamwombea Baraka Sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,036
Mbunge wa Monduli Fred Lowassa amemshukuru Askofu Mkuu mteule wa KKKT, Dkt. Alex Malasusa kwa namna anavyowatunza kiimani na wanamwombea Baraka tele katika majukumu yake mapya.

Askofu Malasusa ni Mwanafamilia yetu na baba yetu wa kiimani ametutunza Sana tulipopitia Majaribu na matatizo tunamwombea kwa Mungu ambariki zaidi na zaidi, amesema Lowassa.

Lowassa alikuwa anaongea na Waandishi wa habari nyumbani kwake Monduli leo.

Source: Upendo TV Taarifa ya Habari

Mlale unono 😀
 
Mbunge wa Monduli mh Fred Lowasa amemshukuru Askofu Mkuu mteule wa KKKT Dr Alex Malasusa kwa namna anavyowatunza kiimani na wanamwombea Baraka tele katika majukumu yake mapya

Askofu Malasusa ni Mwanafamilia yetu na baba yetu wa kiimani ametutunza Sana tulipopitia Majaribu na matatizo tunamwombea kwa Mungu ambariki zaidi na zaidi, amesema Lowasa

Lowasa alikuwa anaongea na Waandishi wa habari nyumbani kwake Monduli leo

Source: Upendo TV Taarifa ya Habari

Mlale unono 😀
Hata maokoto ya serikalo si walikuwa wanakula pamoja?
 
Alafu upendo media sasa wanakua kichefu chefu, promo zao juu ya kuingizwa kazini Askofu huko insta zimekua too much, hivi hawajui hivi sio vyeo vya kisiasa?

Watu wana run media ya kanisa ila hawajui tofauti na media za kidunia.
 
Mbunge wa Monduli Fred Lowasa amemshukuru Askofu Mkuu mteule wa KKKT Dr Alex Malasusa kwa namna anavyowatunza kiimani na wanamwombea Baraka tele katika majukumu yake mapya.

Askofu Malasusa ni Mwanafamilia yetu na baba yetu wa kiimani ametutunza Sana tulipopitia Majaribu na matatizo tunamwombea kwa Mungu ambariki zaidi na zaidi, amesema Lowasa

Lowasa alikuwa anaongea na Waandishi wa habari nyumbani kwake Monduli leo

Source: Upendo TV Taarifa ya Habari

Mlale unono 😀
Kwahiyo ndiyo amerudisha kanisa kuwa tawi la CCM rasmi?
 
Back
Top Bottom