achana nao hao mimi nakuunga mkono hakuna kiongozi kama lowasa kwa sasakura zote kwa lowasa nyie pigeni makelele tu hapo jamvini
Lowasa asipokuwa Rais 2015 mniue - Askofu (Gazeti la Nyakati,10th Julai). Ngoma imeanza!
Lowasa asipokuwa Rais 2015 mniue - Askofu (Gazeti la Nyakati,10th Julai). Ngoma imeanza!
Nijuavyo viongozi wa Dini hawatakiwa kujihusisha na shughuli zozote za siasa au ushabiki wa aina yeyote, nashangaa huyo Askofu ni Anafanya kazi ya Mungu au askofu wakala wa baba wa Uongo? Pia kuna mambo mengi ya kusaidia serikali na jamii baada ya kukaa kufukiri na kuomba na kuwakilisha pamoja na kufikiri nao wameingia kwenye ushabiki usio na tija wala maana kwa wakati huu. Mpaka hapo nahakika ameshakufa kwa kujinenea yeye mwenyewe. Akumbuke KIAPO chake na Mungu anamuona ktk yote.
lowassa ntampa kura yangu haina ubishi
usiwe mpumbavu wewe, hata kama lowassa anakupa cash lakini sidhani anakupa cash yingi kiasi hicho mpaka kuandika ujinga kuhusu baba wa taifa. lowassa aliingia kwenye siasa [ubunge na uwaziri ]1990 alafu 1995 alikua tajiri. baba wa taifa hakumtaka lowassa kwasababuby daway who is nyerere? Si mtu kama mim wewe vipi sio kila aliosema yeye ni sheria mengine aliongea kwa interest zake binafsi.na chuki zake za kizanaki hasa kwa mtu aliyeona atamfunika nani asiyemjua huyu dikteta na mroho wa madaraka
Lowasa asipokuwa Rais 2015 mniue - Askofu (Gazeti la Nyakati,10th Julai). Ngoma imeanza!
Ingekuwa Askofu amemsemea mtu wa CDM, hoja ya makundi fulani kukosa imani na chama zingekuwa kibaoooooo!
Sijui Rejao, Ritz, Zomba mnasemaje mgombea ndani ya CCM anapigiwa debe na aaskofu?