John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
Lema msanii sana anacheza na akili za watu wa Arusha anawapeleka kama pimbi! Hata akisema watembee uchi watafanya tu! Lema kuna siku atatembea uchi kupinga uonevu wa polisi kwa CDM na watu wa Arusha watampa support kwa kutembea uchi! Atakunya barabarani kulaani uonevu wa Polisi na machizi wake watakula mavi yake kumuunga mkono! Lema angesoma hata kuwa na Certificate tu angewageuza watu wa Arusha kama anavyotaka!