Arusha: Mkuu wa Mkoa awatoa hofu wananchi juu ya mgomo wa daladala/pikipiki

Nnatoa taarifa kamili ni kuwa hakuna Daladala inayofanya kazi tena muda huu9:37am,njia zote hakuna usafiri.Nimepita maeneo ya chini ya mti pamewekwa Mawe makubwa sana barabarani.Hali ya usalama ni shwari kidogo Ila usafiri kwa sasa ni empty.Polisi ndio wengi barabarani.

Kumbe sio mgomo tena ni wahuni wachache wanataka kuchafua mji, kwa nini waweke mawe barabarani ina maana kuna watu wanataka kupitisha magari yao wahuni ndio hawataki
 
me nipo mjini kati arusha hakuna umeme mpaka tanesco maji nayo hakuna daladala hakuna mbunge hayupo mbona shuda ila karibia azimio la arusha kuwa bengazi inakaribia
 
usidangaye watu hakuna gari inayofanya kazi me nipo arusha we utakuwa igunga
Asubuhi kabla ya saa nne kwa mbali hali ilionekana ni shwari lakini saizi hali ni tete hususani maeneo ya mjini. Kama daladala zinafanya kazi basi haziingii mjini kabisa.
 
Huku shwari naona daladala zinafanya kazi kama kawaida.

asante kwa taharifa,ila ungetoka kwanza uko ndani ulipojificha uone hali halisi..muda si mrefu jeshi la wananchi wenye hasira kari wanaingia mtaani
 
me nipo mjini kati arusha hakuna umeme mpaka tanesco maji nayo hakuna daladala hakuna mbunge hayupo mbona shuda ila karibia azimio la arusha kuwa bengazi inakaribia
Mkuu tutafutane basi, ni kweli Ngeleja ameachukua chake.
 
Magamba wengi wanaochangia upuuzi humu wanatoka Ilala , Kinondoni, Bagamoyo , nk Ni vigumu kuongelea ya Arusha maana wenyewe ni waoga hawathubutu na legelege ile mbaya.
 
Mkuu na wewe kweli uwa unaongea pumba kama hizi?

Mkuu wa mkoa kwani yeye ndio atatembea mkoa mzima mpaka kuujua? Wapo wasaidizi wake tena wazawa wa Arusha ndio watafanya kazi kuakikisha usafiri utakuwepo kwa wakazi wa Arusha.

Kama Mkuu wa Mkoa ni wakuja hiyo hoja ni dhaifu sana PJ

Hivi huwa unamatatizo gani,Naomba nikwambie mda umewadia hamtaikwepa hasira ya Mungu.
 
UKWELI BILA UBISHI,, Kama chadema wana sera nzuri kushinda CHAMA CHA MAPINZUZI kwa nn wasingojee Mwaka 2015 kwenye uchaguzi MKUU? wanatapatapa kila cku kwa maandamano, kejili matusi na vituko mbalimbali kama hakuna serikari ,mnawatia watu ujinga hawafanyi maendeo ni kuandamana2,hamkitendei haki chama kilicho shinda uchaguzi, ujinga wa kina lema usituchafulie Amani ye2.
 
UKWELI BILA UBISHI,, Kama chadema wana sera nzuri kushinda CHAMA CHA MAPINZUZI kwa nn wasingojee Mwaka 2015 kwenye uchaguzi MKUU? wanatapatapa kila cku kwa maandamano, kejili matusi na vituko mbalimbali kama hakuna serikari ,mnawatia watu ujinga hawafanyi maendeo ni kuandamana2,hamkitendei haki chama kilicho shinda uchaguzi, ujinga wa kina lema usituchafulie Amani ye2.

Amani yenu, amani ipi!? amani ya wewe kula kuku wakati huduma za jamii ni duni! Fikiri vizuri ndugu yangu, halafu hicho chama kilichoshinda vizuri si kilichaguliwa na watu, sasa kwa nini wale wanaokipinga wanaonekana wengi?, maana kila kona ya nchi ni Chadema tu, sasa hao waliokipa ushindi ccm wako wapi si wakitetee sasa?
 
Mkuu na wewe kweli uwa unaongea pumba kama hizi?

Mkuu wa mkoa kwani yeye ndio atatembea mkoa mzima mpaka kuujua? Wapo wasaidizi wake tena wazawa wa Arusha ndio watafanya kazi kuakikisha usafiri utakuwepo kwa wakazi wa Arusha.

Kama Mkuu wa Mkoa ni wakuja hiyo hoja ni dhaifu sana PJ

Desparate and pitful
 
Back
Top Bottom