Arusha: Mkuu wa Mkoa awatoa hofu wananchi juu ya mgomo wa daladala/pikipiki

CCM have pressed so hard na watanzania sasa baada ya kukata tamaamuda mwingi wana resort kwenye kitu kizito .CCM imeyatengeneza haya wakidhani jeshi ni jibu .Busara zitumike vyeo visitumike vibaya .Lakini kama kesho wenye magari yao wameamua kwenda gereji kurekebisha magari yao yeye Mkuu wa Mkoa anaweza kuwazuia .Serikali corrupt haina hata magari ya state kwa usafirishaji leo mnawezaje kuwalazimisha wenye magari ya kufanya watakavyo ? Kuna haja kubwa ya kuangalia ukweli huu .Vitisho na kutumia polisi si jibu kwa kwel . I am so sad Nchi yangu imefisadiwa kiasi hiki .
 
.Lakini kama kesho wenye magari yao wameamua kwenda gereji kurekebisha magari yao yeye Mkuu wa Mkoa anaweza kuwazuia .Serikali corrupt haina hata magari ya state kwa usafirishaji leo mnawezaje kuwalazimisha wenye magari ya kufanya watakavyo ? Kuna haja kubwa ya kuangalia ukweli huu .Vitisho na kutumia polisi si jibu kwa kwel . I am so sad Nchi yangu imefisadiwa kiasi hiki .

Kwani walioamua kugoma ni madereva au wenye magari?kwa kuwa walioamua kugoma ni madereva, basi wenye magari wana haki ya kutafuta madereva wengine wawafanyie kazi, na polisi lazima wawamlinde ili siku ya kesho waingize riziki yao halali, na kama kuna dereva atakayeamua kufanya kazi kesho ni wajibu wa serikali kuhakikisha uhuru wake pia unalindwa.

So tamko la Mkuu wa Mkoa linalenga kuwatoa hofu wale wanaoogopa kufanya shughuli zao kesho kwa kuhofia fujo au kuharibiwa mali zao, kwa mtu yeyote anayejali utawala wa sheria anapaswa kumuunga mkono mkuu wa mkoa kwa hilo.
 
Kwani walioamua kugoma ni madereva au wenye magari?kwa kuwa walioamua kugoma ni madereva, basi wenye magari wana haki ya kutafuta madereva wengine wawafanyie kazi, na polisi lazima wawamlinde ili siku ya kesho waingize riziki yao halali, na kama kuna dereva atakayeamua kufanya kazi kesho ni wajibu wa serikali kuhakikisha uhuru wake pia unalindwa.

So tamko la Mkuu wa Mkoa linalenga kuwatoa hofu wale wanaoogopa kufanya shughuli zao kesho kwa kuhofia fujo au kuharibiwa mali zao, kwa mtu yeyote anayejali utawala wa sheria anapaswa kumuunga mkono mkuu wa mkoa kwa hilo.
Leo ndio mnaanza kujua utawala wa sheria.
 
Huyu chokoraa mliye mchagua kweli anajua kucheza na mind zenu!

nyie ndio watanzania mnaotembea kwenye giza mkidhani mpo kwenye mwangaza. Mmepofuka na viziwi pia,kuona hamuoni,kusikia hamsikii. Haya ndio madhara ya miaka 50 ya non-stop propaganda. Wana Arusha oyee mapambano yanaendelea!
 
nyie ndio watanzania mnaotembea kwenye giza mkidhani mpo kwenye mwangaza. Mmepofuka na viziwi pia,kuona hamuoni,kusikia hamsikii. Haya ndio madhara ya miaka 50 ya non-stop propaganda. Wana Arusha oyee mapambano yanaendelea!
Ndiyo hata Yesu walipomdhihaki na kumdhalilisha alilia kwa Mungu wakr na kusema eeeeh Baba hawajui watendalo WASAMEHE, hivyo kuna watu humu ndani wanahitaji kusamehewa kila post wanayopost jukwaani.
 
Ccm inajitunika kitanzini yenyewe. Kiburi chake na unyanyasaji wa raia inayofanya hauna tofaut na libya, misri, tunisia na kwingineko. Anyway nawatakia goodluck ktk safari yao ya kuzimu
 
Hii inatupatia picha pana ya ombwe la uongozi ambalo kwasababu watawala wa maono linatupeleka katika umwagaji damu. Nikiona mambo kama haya huwa namkumbuka sana Lowasa. Alipojiuzulu,aliondoka na heshima kidogo ya utendaji serikalini iliyokua imebakia. Jiulize waziri mkuu anafanya nini toka vurugu za umeya,mauji ya arusha,kufukuzwa madiwani wa CDM na sasa hii ya kesho? Arusha ni mji wenye mashirika ya kimataifa,kituo kikuu cha utalii na makao makuu ya EAC. Lakini chama na serikali ya CCM imeshindwa kuwachukulia hatua ama kuwahamisha watu kama mkurugenzi wa jiji la Arusha aliyeharibu uchaguzi wa meya wa Arusha, Mary Chatanda ambaye ni chanzo cha mauaji ya waandamanaji wa Arusha na huyu OCD ambaye amekua anatoa amri bila busara yoyote,sasa tunaelekea ktk umwagaji wa damu mwingine.
mkurugenzi alitekeleza alicho agizwa hivyo hawawezi kumuwajibisha!
 
ujinga mtupu,, niache kuhangaikia mkate wa wanangu nikapigwe jua, hata maana ya mgomo siujui,, nendeni wenyewe............w
wanaohangaikia mkate hawako kama wewe usidanganye watu wapo ambao hawana hata uwezo wa kutamka hilo neno kuhangaika utawaona kwa macho wala huhitaji tochi.
 
Kwani walioamua kugoma ni madereva au wenye magari?kwa kuwa walioamua kugoma ni madereva, basi wenye magari wana haki ya kutafuta madereva wengine wawafanyie kazi, na polisi lazima wawamlinde ili siku ya kesho waingize riziki yao halali, na kama kuna dereva atakayeamua kufanya kazi kesho ni wajibu wa serikali kuhakikisha uhuru wake pia unalindwa.

So tamko la Mkuu wa Mkoa linalenga kuwatoa hofu wale wanaoogopa kufanya shughuli zao kesho kwa kuhofia fujo au kuharibiwa mali zao, kwa mtu yeyote anayejali utawala wa sheria anapaswa kumuunga mkono mkuu wa mkoa kwa hilo.

Mkuu huku AR tajiri mmoja ana mpaka mabasi kumi,atapata wapi hao madereva kwa usiku mmoja?Na hilo
basi utapita nalo barabara ipi lisivunjwe vioo?Mkuu tuulize sisi tulio arusha tukuambie.Huku watu hawatanii.
Hivi huyu mkuu wa mkoa mbona hakuwatoa hofu wananchi wakati ule wa mgomo wa mafuta ya magari?
 
Saa hizi daladala zote zinapaki hakuna tena barabarani wale waliowahi walipata usafiri saa hizi hakuna.
 
Nawahakikishia ya kwamba hili la hapa A town halina budi kutokea! Dalili zote zinaonyesha kwn kila corner ninayopita ishara na maongezi ni moja tu ya kwamba UKOMBOZI ni sasa!
 
Updates:
Hali ya usafiri asubuhi ilikuwa ni ya kawaida kama siku nyingine, hakuna matukio ya vurugu. Msongamano vituoni siyo mkubwa ingawaje daladala na pikipiki siyo nyingi kama kawaida. Hali ya ulinzi nayo siyo ya kutisha ingawaje nilikutana na gari moja ya polisi ilirandaranda mitaani kuhakikisha hakuna vurugu zinazotokea. Watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.

Mkuu wa mkoa wa Arusha amewatoa hofu wananchi wa Arusha kuwa wasiwe na wasiwasi juu ya usafiri kesho kuwa utakuwepo na kutakuwa na ulinzi wa kutosha. Ameyasema hayo kupitia Tripple A Fm katika kipindi maalumu.

Kwa hiyo hakuna mgomo wowote zile zilikuwa porojo tu
 
Nnatoa taarifa kamili ni kuwa hakuna Daladala inayofanya kazi tena muda huu9:37am,njia zote hakuna usafiri.Nimepita maeneo ya chini ya mti pamewekwa Mawe makubwa sana barabarani.Hali ya usalama ni shwari kidogo Ila usafiri kwa sasa ni empty.Polisi ndio wengi barabarani.
 
Bado kitambo kidogo tutaanza kuona mabadiliko ya kweli kwenye siasa ya Tanzania
 
Wakuu mbona kuna mchanganyo hapa, kuna anayesema Arusha shwari hakuna mgomo na mwingine kasema, hakuna huduma za usafiri kwa sasa. Naomba tufahamishwe sana hali iliyopo maana hili kwetu tulio nje ya Arusha ni muhimu sana kupima uzalendo wa watu wa Arusha kwa Mpigania Haki Mhe. Lema.
 
Back
Top Bottom