Arusha: Mkuu wa Mkoa awatoa hofu wananchi juu ya mgomo wa daladala/pikipiki

"Its too late to catch the moving train..." kesho kama kawa. Watu wameshachukua ED maoficn, moto uwashwe nchi nzima bana. Kamanda Mbowe na Dr. Slaa, toeni ruksa tuwashe moto nch nzima. Tupo tayari kupambana!
 
ujinga mtupu,, niache kuhangaikia mkate wa wanangu nikapigwe jua, hata maana ya mgomo siujui,, nendeni wenyewe............w
 
Mkuu mwenyewe wa kuja, kaijua lini Arusha?
Kama anataka advertize ataiona kesho!

Mkubwa! Huyu (RC) atashangaa na macho yake yote ya kushoto na bila shaka atajuta kuletwa hapa A town,ushauri ambao ningempatia ni moja tu,yeye asikilize vipeperushi vya Nguvu ya Umma inalenga nini. Tofauti na hapo hata akiongeza FFU wa Mkoa mpya wa Manyara hapa Nguvu ya Umma wameshachafukwa na Mioyo. Awike asiwike patakucha tuu!!
 
Hao wananchi wanaotolewa wasiwasi ni akina nani? ina maana hao watakaogoma siyo wananchi? kwa kweli ccm siwaelewi ni kiswahili gani wanachokiongea
 
Mkuu na wewe kweli uwa unaongea pumba kama hizi?

Mkuu wa mkoa kwani yeye ndio atatembea mkoa mzima mpaka kuujua? Wapo wasaidizi wake tena wazawa wa Arusha ndio watafanya kazi kuakikisha usafiri utakuwepo kwa wakazi wa Arusha.

Kama Mkuu wa Mkoa ni wakuja hiyo hoja ni dhaifu sana PJ
'wata' ni kauli wingi taarifa, endelea kuwasemea watu kama remote controler ila kuanzia kesho mpaka tarehe 14 mwezi huu huyu Mkuu wa Mkoa atatapika mawashiwashi mpaka atakonda.
 
Za siku ni mbaya hadi taifa litakapokombolewa kutoka mikononi mwa vibaraka weusi, wewe kaa huko huko CDM haina pesa ya kukulipa kwa kila post unayo-post JF.

Nijua tu mpaka niwe mchagga
 
ujinga mtupu,, niache kuhangaikia mkate wa wanangu nikapigwe jua, hata maana ya mgomo siujui,, nendeni wenyewe............w

Dume gani wewe!! Kaa huko ulipo na Taifa tutalikomboa hata kwa upande gani lakini UKOMBOZI umefika hata kama si kesho lakini tumechoka na mafisadi kama mbaya acha iwe hivyo,lakini huwezi ukajiita dume halafu ukawa ktk matamshi kama ya ki***ng*e uliyoandika hapo juu.
 
'wata' ni kauli wingi taarifa, endelea kuwasemea watu kama remote controler ila kuanzia kesho mpaka tarehe 14 mwezi huu huyu Mkuu wa Mkoa atatapika mawashiwashi mpaka atakonda.
Shida ya siasa za kupokea maelekezo, hata kama akili yako inagoma basi itabidi ukubali. Utashangaa hali ikiwa tete mwisho wa siku serikali inaamuru Lema atolewe jela na kuanza kusuluhisha! Amani ya Arusha itapatikana kwa kuacha kupokea maelekezo na kufanya siasa za kuwafurahisha wazee.
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha amewatoa hofu wananchi wa Arusha kuwa wasiwe na wasiwasi juu ya usafiri kesho kuwa utakuwepo na kutakuwa na ulinzi wa kutosha. Ameyasema hayo kupitia Tripple A Fm katika kipindi maalumu.
OCD mbona hatoi kauli za kuwatisha panya wa arusha dhidi ya mgomo huu??
 
Hehehehe hatanilikuwa sitaki kuongea sana juu ya mgomo,ila mkuu wa nchi kamleta kimakosa sana huyu jamaa huku haja pajua vizur arusha,asidhani hapa ni pwani kwa kasi aliyo kuja nayo kila aliyekuja hapa hutamani ku lobby ahamishwe haraka,amekuja na kasi na vitisho vyake,sie yetu macho.
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha amewatoa hofu wananchi wa Arusha kuwa wasiwe na wasiwasi juu ya usafiri kesho kuwa utakuwepo na kutakuwa na ulinzi wa kutosha. Ameyasema hayo kupitia Tripple A Fm katika kipindi maalumu.

anacheza na akili za watu ambao tayari walishazinduka usingizini.
 
Shida ya siasa za kupokea maelekezo, hata kama akili yako inagoma basi itabidi ukubali. Utashangaa hali ikiwa tete mwisho wa siku serikali inaamuru Lema atolewe jela na kuanza kusuluhisha! Amani ya Arusha itapatikana kwa kuacha kupokea maelekezo na kufanya siasa za kuwafurahisha wazee.
Kenge huwa hasikii na ili kenge aweze kusikia unapaswa kumtandika mpaka damu zimtoke maskioni ndo atasikia.
 
Mkuu na wewe kweli uwa unaongea pumba kama hizi?

Mkuu wa mkoa kwani yeye ndio atatembea mkoa mzima mpaka kuujua? Wapo wasaidizi wake tena wazawa wa Arusha ndio watafanya kazi kuakikisha usafiri utakuwepo kwa wakazi wa Arusha.

Kama Mkuu wa Mkoa ni wakuja hiyo hoja ni dhaifu sana PJ

Watawalazimisha wenye magari kuyaingiza barabarani?
 
Back
Top Bottom