AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari wana JF! Kutokana na hali mbaya ya rushwa na fitina zinazoendelea ndani ya CCM na pia ktk mchakato wa kumpata mwakilishi wa CCM arumeru ambao umemalizika na kusababisha mgawanyiko mkubwa ndani ya chama hicho, pia na matumizi ya mbinu za kuwagawa wananchi kwa ukabila huko arumeru, Mhe sitta ametabiri ushindi wa chadema kwa kusema ni chama ambacho kinatumia demokrasia ya kweli hata ktk mchakato wa kura za maoni pia amesema kitendo cha kumchagua mzalendo Nassari huo ni uthibitisho tosha kuwa chadema itashinda arumeru.