hawezi kuhama akihama atayumba sana na tutamsahau atabaki tu kwenye kumbukumbu kuwa aliwahi kuwa spika, waziri etc
Ningependa mshindi awe aliyestahili, na binafsi i like CHADEMA ishinde ingawa i respect SIYOI a lot, ila hizi nuksi za huyu baba sizipendi
He should either leave CCM or shut up
Habari wana JF! Kutokana na hali mbaya ya rushwa na fitina zinazoendelea ndani ya CCM na pia ktk mchakato wa kumpata mwakilishi wa CCM arumeru ambao umemalizika na kusababisha mgawanyiko mkubwa ndani ya chama hicho, pia na matumizi ya mbinu za kuwagawa wananchi kwa ukabila huko arumeru, Mhe sitta ametabiri ushindi wa chadema kwa kusema ni chama ambacho kinatumia demokrasia ya kweli hata ktk mchakato wa kura za maoni pia amesema kitendo cha kumchagua mzalendo Nassari huo ni uthibitisho tosha kuwa chadema itashinda arumeru.
Source...?:A S-coffee:
Asihame akae hukohuko aenedelee kuanika maovu ya Magamba wakitaka wamfukuze!sita mbona haeleweki nani ambaye sio mzalendo.kama sioi sio mzalendo si aweke pingamizi tu.Huyu dingi inaonekana anakata tawi mti aliokali kama haitaki ccm si ahame rasmi au anataka huruma ya watanzania mbona mwenzie mpendazoe yuko nje ya ccm.mzee sita ukita ueleweke hama ccm hueleweki au ndio baniani mbaya .....,..
sita mbona haeleweki nani ambaye sio mzalendo.kama sioi sio mzalendo si aweke pingamizi tu.Huyu dingi inaonekana anakata tawi mti aliokali kama haitaki ccm si ahame rasmi au anataka huruma ya watanzania mbona mwenzie mpendazoe yuko nje ya ccm.mzee sita ukita ueleweke hama ccm hueleweki au ndio baniani mbaya .....,..
Mzee Sitta anaipenda sana ccm na ndiyo maana anaikosoa waziwazi ili ijirekebishe na msije kusema mbona hakusema lakini mseme alisema tukapuuza. We unadhani hakusema kwenye vikao vya ndani? Ila walimpuuza, akaona awaambie wana ccm walioko nje ya system lakini ndiyo hivyo na ninyi uwezo wenu. Mtia huruma sijui mumelishwa nini.
Sitta, siku hizi kachukuwa mikoba ya Sheikh Yahya?