Gracious
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 1,890
- 1,082
Mkuu hao vijana wapo wangapi? Wewe ndio wamekutuma uje uwasemee humu JF? kwa nini usipeleke malalamiko yao pale Lumumba.
Eti wale Washili ni wangapi vile?
Mkuu hao vijana wapo wangapi? Wewe ndio wamekutuma uje uwasemee humu JF? kwa nini usipeleke malalamiko yao pale Lumumba.
Mkuu hao vijana wapo wangapi? Wewe ndio wamekutuma uje uwasemee humu JF? kwa nini usipeleke malalamiko yao pale Lumumba.
Hawana ubavu huo wa kumkataa, sera za chama chao ni kulindana, wangemkataa SIOI ambaye kachaguliwa kwa vishawishi vya rushwa. Ila Mkapa atakumbuka machungu yaliyompata sehemu fulani Machame mwaka 1995, uchaguzi wa vyama vingi wa kwanza alipopambana na Mrema, walizomewa pamoja na Dr. Omary Juma wakaishia kusema acheni kutuchagua kwanza huyo Mrema wenu hapati urais.
Huo ni uongozi wa kifalme ambao unapingwa katika dunia ya leo, sasa inatia shaka kama Tz inayofikiriwa kuwa ni nchi yenye demokrasia watu wanarithishana uongozi eti atekeleze ahadi za baba yake. Labda kama Wameru bado wako katika zama za ujima watamchagua. Hakuna familia ambayo ina lease ya kuongoza na kufaidi keki ya uhuru. Tunachotaka ni mtu mwenye uwezo wa kusimamia maendeleo katika Jimbo la Arumeru Mashariki.Itakwa vema kama jimbo hili litabaki chini ya ccm, kwa sababu mtoto wa sumari ataweza kuendeleza na kuzifanyia kazi ahadi alizoweka babake. Goodluck kwa sioi
Mkuu hao vijana wapo wangapi? Wewe ndio wamekutuma uje uwasemee humu JF? kwa nini usipeleke malalamiko yao pale Lumumba.
Mkuu hao vijana wapo wangapi? Wewe ndio wamekutuma uje uwasemee humu JF? kwa nini usipeleke malalamiko yao pale Lumumba.
i think you have a point brother. Hapa ni kweli yabidi kuwepo umakini wa hali ya juu kwa kuwa hapa sio ccm ya kawaida inapambana na cdm, ni ccm-l yenye nguvu kuliko ccm-k