Tapeli yule, hua namsikilizaga naona chenga tuu yn wachambuzi wengi wa bongo ni matapeli.George ambagile aliwajaza sana vichwa🤣
Bayern hachezi leo mkuubayern mashabiki wameingia kweny pitch refa kaona amalize game
Ule msimu ulikuwa wamoto Sana kwa LiverkomweLiverpool ya moto inamfukuzia city kwa point 1 mechi 9 na akashindwa, sasa nyie mnamtingishia CITY wowowoo.
luverkuzens mzee bayern haipo moja tu mzeeBayern hachezi leo mkuu
na bado kweny mechi yenu lazima muwakandeMashabiki wa Chelsea tuna furaha kuzidi mashabiki wa AssAnal
Bayern ipo moja tu mkuu, unayosema wewe inaitwa BAYER(BAYA)luverkuzens mzee bayern haipo moja tu mzee
Yn AssAnal ana TOT, Chelsea na Man U yn akipata point 5 hapo bc anachukua ubingwa 😂na bado kweny mechi yenu lazima muwakande
BAYA au siyo 😂Bayern ipo moja tu mkuu, unayosema wewe inaitwa BAYER(BAYA)