jamani mi naomba anayejua atupe riport lakini tusichanganywe na hawa vibaraka !!!!!!!!!!
kwamaana ishu ni very simple clouds wanaua mziki sababu ni hii na ile au clouds wanasingiziwa sababu hii na ile basi !!!!!!!
fullstop
wakuu karibuni kwa mara nyingine !
Nina miaka karibu Minne sijawahi kusikiliza Clouds FM...Lakini nikiwa ktk KLM on the way to USA September Mwaka jana nilikaa seat ya jirani na kijana mmoja ambae ni mwanamuziki wa kizazi kipya..aliilalamikia sana jiyo FM Station kwamba ni Tatizo kwa maendeleo yao ya kimuziki kwa sababu..inatumia divide and rule kwa wasanii ili hata wasanii wenyewe wasiwe na sauti moja..hlf imekuwa ikiwajaza sana maneno wanamuziki wapya dhidi ya wakongwe ili waonekane kwamba wakongwe wanawazibia ma underground wasitoke...Pia hali inaelezwa kuwa mbaya sana kama mwanamuziki ni wa kike..kwani ni mpaka ruge atembee nao ndio mwanamuziki wa kike anapata chance ya kupata airtime katika FM Station hiyo....Na alinieleza kwamba jamaa kafyagia wanamuziki mademu wengi sana mfano...Jide,Ray C, Maunda Zorro..Dattaz nk
jamani mi naomba anayejua atupe riport lakini tusichanganywe na hawa vibaraka !!!!!!!!!!
kwamaana ishu ni very simple clouds wanaua mziki sababu ni hii na ile au clouds wanasingiziwa sababu hii na ile basi !!!!!!!
fullstop
wakuu karibuni kwa mara nyingine !
Nina miaka karibu Minne sijawahi kusikiliza Clouds FM...Lakini nikiwa ktk KLM on the way to USA September Mwaka jana nilikaa seat ya jirani na kijana mmoja ambae ni mwanamuziki wa kizazi kipya..aliilalamikia sana jiyo FM Station kwamba ni Tatizo kwa maendeleo yao ya kimuziki kwa sababu..inatumia divide and rule kwa wasanii ili hata wasanii wenyewe wasiwe na sauti moja..hlf imekuwa ikiwajaza sana maneno wanamuziki wapya dhidi ya wakongwe ili waonekane kwamba wakongwe wanawazibia ma underground wasitoke...Pia hali inaelezwa kuwa mbaya sana kama mwanamuziki ni wa kike..kwani ni mpaka ruge atembee nao ndio mwanamuziki wa kike anapata chance ya kupata airtime katika FM Station hiyo....Na alinieleza kwamba jamaa kafyagia wanamuziki mademu wengi sana mfano...Jide,Ray C, Maunda Zorro..Dattaz nk
sishangai hata shetani ana mawakala wake kanisani !!!!!!!!
maneno ndugu yake kanga inawezekana we ni mvaaji mzuri tu !!!!!!!!!
wasalimie wenzio tht !!!!!!!!!
na baba enu ruge !!!!!!!!!!!!
hahahahaha,Ukweli mtupu Nyambaffff!!!!!!!!
1. an itinerant Australian laborer who carries his personal belongings in a bundle as he travels around in search of work
2. a proud stiff pompous gait
1. (British informal) very chic hhhahha very chic
Nenda http://www.audioenglish.net/dictionary/swagger.htm uko uelwe maana ya kitu sio sababu umekisikia tu unatumia kuiga iga kunya kwa tembo utachanwa.........