Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,411
Lizzy, taratibu..mwenzio anaona huruma
Anamwonea huruma wakati mwenzake anajua na hajali???Kama mhusika mwenyewe haimsumbui iweje mwenzetu huyu imsumbue??
Lizzy, taratibu..mwenzio anaona huruma
nisikusumbue jamani uendelee na maombi.....
ukishajibiwa mimi na wewe tuzungumze nini naomba uni PM
kwasasa naaanda jimbo kwa ajili ya 2015,ndo majukumu yangu...!gd9t!!!
Anamwonea huruma wakati mwenzake anajua na hajali???Kama mhusika mwenyewe haimsumbui iweje mwenzetu huyu imsumbue??
Mi ni mwanamke my dear na hawa ni kama wadogo zangu!
Lizzy mpaka naanza kuhisi labda unamjua huyu mdada,tatizo hapa huyu mdada kuna mtu alimuhusia kuhusu bwanake kua na uhusiano na huyu mdada wa huku ndo akaweka hiyo status,tatizo anadhani coz ni mrembo kuliko huyu mdada wa huku bwanake hawezi kucheat wakati wenzie huku wanapanga mpaka kuoana na kuzaaa!!ndo najifikiria nimwambie ukweli ili baadae asije kunilaumu!Anamwonea huruma wakati mwenzake anajua na hajali???Kama mhusika mwenyewe haimsumbui iweje mwenzetu huyu imsumbue??
ok. kwa hiyo upo karibu na BF wa huyo msichana??
kama umewazoea kiasi, unaweza ku-introduce tu. ni bora huyo dada wa TZ ajue mapema kwamba unga umemwagika
Tatizo huyo mdada wa Dar anjisikia sana na kweli ni mrembo wa haja halafu ni kale kakabila ka kule kanda ya ziwa anazile za kujishaua ndo nafikiria ntaanzia wapi!
anajichoresha kwa nani sasa?
Huyo dada haishi kwa kuogopa watu ndio maana hana wasiwasi.
Nyie ndio mnaopoteza muda kumchora wakati mwenzenu hana tym na nyie. Anafanya mambo yake anavyojua.
Anajichoresha kwa watu tunaojua na pia sitaki lawama kwamba kumbe na mimi nilikua najua kwanini sikumwambia mapema!mana hawa huku wanapanga kuoana Summer hii!
yule mhusika hajui nini kinaendelea
Anajichoresha kwa watu tunaojua na pia sitaki lawama kwamba kumbe na mimi nilikua najua kwanini sikumwambia mapema!mana hawa huku wanapanga kuoana Summer hii!
Angekua hajui asingeandika haya ''
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." ''
duh!
Kumbe ndio imefikia hapo.
Kwahyo huyo jamaa yako na huyo mdada wa fb hawajagombana wala nini?
Tatizo unatoa stori roborobo.
Hajamtamkia direct kama hamtaki but mdada kutwa ndo anapiga simu huku!huyu kaka anasema akirudi TZ ndo atamwambia ukweli,ambayo itakua too late kwamba keshaoa,my dear mi kama mwanamke najisikia vibaya sana ndo mana naomba msaada nifanyeje!
Hajamtamkia direct kama hamtaki but mdada kutwa ndo anapiga simu huku!huyu kaka anasema akirudi TZ ndo atamwambia ukweli,ambayo itakua too late kwamba keshaoa,my dear mi kama mwanamke najisikia vibaya sana ndo mana naomba msaada nifanyeje!
Angekua hajui asingeandika haya ''
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." ''
aisee, ni balaa..
kama unawajua ndugu wa huyu dada, nakushauri uwatumie hao kuliko kumwambia huyo dada direct, hii itakusaidia hata wewe kujilinda lakini umewapata taarifa. kama huwajui, uwe mvumilivu tu
Hili ndo tatizo kubwa anahisi jamaa alipita tu bahati mbaya kumbe miaka 4 wenzie wako pamoja na ndo wanapanga kuoana kipindi cha Summer!inauma coz huyu mdada kwasababu ya urembo wake anadhani huyu kaka hawezi kumwacha!