Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 748
- 1,937
Mkuu wanawake wa sasa ndio kinachotakiwa, akiwaka unamwaga petroli kabisa, ukileta mahaba itakula kwako kila siku.We jamaa acha ukatili wa kingono😂😂
Mkuu wanawake wa sasa ndio kinachotakiwa, akiwaka unamwaga petroli kabisa, ukileta mahaba itakula kwako kila siku.We jamaa acha ukatili wa kingono😂😂
Ana ukimwi huyo anataka kukuambukizaWakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Hakupendi ila huyo aliyefikiri anampenda kampga chiniWakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
We ndio umewaza deeply......watu tunasahau sana hii kitu.Ana ukimwi huyo anataka kukuambukiza
Akikuelekeza nishtue na mimi nataka kufanya hivo napata kero sanaemu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka tafadhali
Dr na mimi nielekeze natumia iPhoneNaweza kukuelekeza Mkuu.
Unatumia simu ya aina gani?
iPhone huwezi kublock bali wana-silence unknown calls.Dr na mimi nielekeze natumia iPhone
Unataka tutumie "tigo". ??Hivi kuna watu bado wanatumia Facebook🙄
Hiyo naijua nilitaka ile ya kumfanya asinipate kabisaiPhone huwezi kublock bali wana-silence unknown calls.
∆Ingia settings
∆Shuka mpaka kwenye Phone
∆Shuka kuna sehemu pameandikwa Silence Unknown Callers, turn it on
Kazi imeisha. Kwa hiyo akipiga huioni wala haitakusumbua.
Ukitaka kuona hizo namba zilizokupigia, kwenye sehemu ya kupiga. Pembeni kuna Voicemail utaiona kama Missed calls.
Kila la kheri.
Yeyote usiye na namba yake asikupate?Hiyo naijua nilitaka ile ya kumfanya asinipate kabisa
Kuna watu huwa wanajiona special utasikia hivi kwann unatumia Facebook au Instagram. Wanasahau kwamba the most usable social network ni fb na the like.Mbona ndio mtandao mkubwa kuliko jf maana public figure wote duniani wapo huko,we wa wapi?
Nenda kwenye call settings,Nenda kwenye block number, chagall block all calls from unknown callers,emu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka
wameelekeza huko juu sipendi kupigiwa sim na namba ngeniAkikuelekeza nishtue na mimi nataka kufanya hivo napata kero sana
Na mimi nasubiriemu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka tafadhali
Kusema ukweli na Mimi sipendi yaani sipendi ndo mana sitaki mazoea naeHakupendi ila huyo aliyefikiri anampenda kampga chini