Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

Wakuu kwema?

Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.

"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".

Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.

Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.

Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Ana ukimwi huyo anataka kukuambukiza
 
Wakuu kwema?

Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.

"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".

Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.

Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.

Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..

Wakuu kwema?

Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.

"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".

Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.

Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.

Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Hakupendi ila huyo aliyefikiri anampenda kampga chini
 
Kwanza nimpongeze mama kwa kuona uzi huu.

Hivi una block namba mpya zote kisa mapenzi. Huna dharura yoyote au ishu nyingine zitazokuja kwa namba mpya? Kijana acha kuendeshwa na mapenzi. Toa block msikilize toa msimamo wako.

Kama unampenda chakata mbususu hiyo
 
Dr na mimi nielekeze natumia iPhone
iPhone huwezi kublock bali wana-silence unknown calls.

∆Ingia settings
∆Shuka mpaka kwenye Phone
∆Shuka kuna sehemu pameandikwa Silence Unknown Callers, turn it on

Kazi imeisha. Kwa hiyo akipiga huioni wala haitakusumbua.

Ukitaka kuona hizo namba zilizokupigia, kwenye sehemu ya kupiga. Pembeni kuna Voicemail utaiona kama Missed calls.

Kila la kheri.
 
iPhone huwezi kublock bali wana-silence unknown calls.

∆Ingia settings
∆Shuka mpaka kwenye Phone
∆Shuka kuna sehemu pameandikwa Silence Unknown Callers, turn it on

Kazi imeisha. Kwa hiyo akipiga huioni wala haitakusumbua.

Ukitaka kuona hizo namba zilizokupigia, kwenye sehemu ya kupiga. Pembeni kuna Voicemail utaiona kama Missed calls.

Kila la kheri.
Hiyo naijua nilitaka ile ya kumfanya asinipate kabisa
 
Hiyo naijua nilitaka ile ya kumfanya asinipate kabisa
Yeyote usiye na namba yake asikupate?

Basi hiyo hakuna internal built feature inayoweza kufanya hivyo. Ila kwa msaada wa apps inawezekana.

Je, upo tayari kutumia app?
 
Kama hana mimba basi U.T.I SUGU , GONO, AU HIV...au anataka kujipoza kwako kutokana na kuachana na mtu wake....

note; huyo jamaa akirudisha majeshi huyo demu anarudi tena kwa mwamba....kusema ukweli hakupendi wewe, alichosema mwanzo alimaanisha.
 
Back
Top Bottom