Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

Wakuu kwema?

Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.

"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".

Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.

Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.

Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Bado huja move on, unajilazimisha tu kuamini hivyo.
 
mkuu fuata moyo wako kwani mapenzi ni yako wewe
kumbuka unatengeneza familia yako na sio zahanati ya kijiji
 
hapa kuna nini, elezea hapa kwa faida ya wengine kama mimi
Jaribu kuingia upande wa call settings then tafuta setting inayohusiana na mambo ya spam&block au blacklist.

Kuna setting moja huwa iko specific tu, ukisoma utaielewa moja kwa moja, huwa inasema
1.block numbers not in contacts
2.block unknown/hidden numbers
 
hapa kuna nini, elezea hapa kwa faida ya wengine kama mimi
Kama hakutokuwa na hizo settings kwa simu yako, ingia Google chrome, search APK MOD. COM, then ukishaingia upande wa hiyo blog, search application inayoitwa Caller id.

Ukishaidownload fuata maelekezo tu maana yako specific sana, yatakufikisha mpaka kwenye hizo settings nilizokuelezea, lakini pia uzuri wa hiyo application, kama usiposet hizo settings, namba ngeni ikikupigia, hiyo app huwa inao uwezo wa kumtambua anayekupigia ikiwa hiyo namba imesajiliwa kwa nida, ina display kabisa jina la mtu anayekupigia.
 
hakupendi akimpata anaempenda anakupiga chini, amini kwamba…saivi kapigwa chini na aliekuwa anampenda yupo lonely sasa anatafuta pakupoozea upweke wake.Mfano Kuna mwanamke mmoja nilimkula kimasihara nikapita hivi akapita vile juz ananipigia simu ananiambia yupo single kaachana na bwana ake yan anataka me nijae mazima, HAIWEZEKANI
 
Wakuu kwema?

Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.

"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".

Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.

Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.

Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Hii inaitwa theLove begin after break up🧑‍🦯🧑‍🦯🧑‍🦯🧑‍🦯
 
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Sijajua kama umeokoka lakini hao watu huwa tunawapokea (suiongee chochote msikilize na ujifanye boya ila uskiweke mjadala kakaenda kakarudi), unamfanya mtumwa wa ngono, no money kila akiomba mwambie huna, akikilalamika kidogo unakata mawasiliano wiki nzima.
 
Sijajua kama umeokoka lakini hao watu huwa tunawapokea (suiongee chochote msikilize na ujifanye boya ila uskiweke mjadala kakaenda kakarudi), unamfanya mtumwa wa ngono, no money kila akiomba mwambie huna, akikilalamika kidogo unakata mawasiliano wiki nzima.
We jamaa acha ukatili wa kingono😂😂
 
Back
Top Bottom