The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,339
- 4,164
Jf watu mnajikuta wajuaji sana, sijaona sehemu mtoa mada akiomba ushauri.
Yeye kasimulia kisa mpate kujua watu mnacomment "oooh we bado unampenda hadi kumfungulia uzi" tutakuwa tunashindwa sasa
Yeye kasimulia kisa mpate kujua watu mnacomment "oooh we bado unampenda hadi kumfungulia uzi" tutakuwa tunashindwa sasa