The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 970
- 1,068
Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..