zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
janaa ilikuwaa siku ya wanawakee duniani,uhuruu na haki za wanawake na ujanyasajii wa kijinsia ndo huu tunao kumeaa.
Mbona zamani tulikua hatuwaoni mitaani wakipuyanga.
MP.
tunavaa chochote so long as tumeridhika wenyewe kuwa tuko decent, comfortable and confident
Naangalia ndugu.....ndo burudani yangu hiyo!!!
Waw..... afadhali umewaelimisha,wanataka tuvae yale maternity marefu mpaka kwenye ankle ambayo yako kama nightdress za zamani halafu chini raba na socks.
Kwa sasa hivi hiyo ni NO.
Mbona wakati hamna mimba huwa mnavaa madera?!! kinawashinda ninikuvaa mkiwa nazo .....
MP.
Maisha magumu. Zamani ilikua rahisi kumleta mdogo wako nyumbani
akusaidie na kazi mbali mbali wee ukilea mimba.
Sasa hivi mdogo wako yuko chuoni, ana maisha yake mwenyewe.
Inabidi upigane hivo hivo.