Primitive
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 222
- 45
umemaliza mama sitii neno hapo! ningekungea like but natumia kimobile!!mwanamke akiwa mjamzito, kazi yake huwa ni kuhesabu waja wazito wenzie.
Watch out!
umemaliza mama sitii neno hapo! ningekungea like but natumia kimobile!!mwanamke akiwa mjamzito, kazi yake huwa ni kuhesabu waja wazito wenzie.
Watch out!
mmmh maprosoo unavyowaona kariakoo wanapuyanga ni kwa ajili ya kujiandaa na maandalizi ya kujifungua kwani siku hizi watu kila kitu wanajitafutia wenyewe hadi glovu na viwembe zaman mambo yote yalikuwa bure na wkunga walikuwa wakizalishia home sa ma mjamzito atatafuta nini kariakoo?
zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
Mkuu tuheshimu naomba.
unataka tufiche ili nini?
Mwanamke kuwa na ujauzito sio aibu bali baraka.
Vaeni nguo za heshima jamani sasa unavaa kagauni kanaishia magotini unakuwa kama mwanamitindo au mimba nazo siku hizi zinafanyiwa fasheni
Yaani hilo ndio tatizo .........kumbe na wewe umeshawashtukia ee? sa sijui wanamtega nani na hili hali ana mtumbo mkuuuuubwa!!!Vaeni nguo za heshima jamani sasa unavaa kagauni kanaishia magotini unakuwa kama mwanamitindo au mimba nazo siku hizi zinafanyiwa fasheni
zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
Hapa sasa ni kuingilia uhuru wa wenzenu, mnataka muwapangie hadi ratiba za kubeba ujauzito au??
kumbe jee, watu wanafashenia mavazi ya ujauzito Fidel, mbona kawaida kabisa!!!
Sasa una mtumbo mkuuuuubwa unavaa kagauni kanaishia magotini unamlingishia nani mtumbo huo? Au anakuwa yeye ndo wakwanza kupata mimba?