BAOSITA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2011
- 368
- 188
Kawaida ukiwa na gari jekundu,kila utapopita utaona magari mekundu mengi!zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
Kuona wengi wana mimba ujue na wewe either unayo,ama unategemea kuipata!