Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,872
- 1,235
thank god. Alikuwa amepata shock ya ajali na sasa amezinduka. Madaktari wametuondoa hofu kuwa hana majeraha makubwa. Wanasubiri vipimo kufanya uchunguzi zaidi kabla hawajamruhusu kutoka.
bwana amuwekeee mikono ya wakovu apone haraka. Bwan yu nae na sisi tuko nae