Duh hawa mshemeji sasa, sijui vipi.........
Hebu tuambieni...huyu Dr mwakyembe aliahidi vitu gani na ametimiza vingapi.........maana tulishatoka kwenye ajali sasa tuko kwenye vijembe vya ubunge...........marufuku wajomba zangu kujiingiza kwenye siasa huko.........kwi kwi kwi
Hebu tuambieni...huyu Dr mwakyembe aliahidi vitu gani na ametimiza vingapi.........maana tulishatoka kwenye ajali sasa tuko kwenye vijembe vya ubunge...........marufuku wajomba zangu kujiingiza kwenye siasa huko.........kwi kwi kwi