Eti fanya kampeni JF; toka lini JF ikachagua wabunge Tanzania?
Mwingine anashangaa mimi kuwa online wakati niko Kyela; elewa professions za watu kabla ya kuja na statement kama hiyo. Niko connected popote ninapokuwa na hilo ndilo boksi langu.
Mimi nahangaika na mambo yangu na wala sina sababu za kwenda kuzunguka vijijini. Nimekuambia sigombei ubunge na hata ningekuwa nagombea uchaguzi ni mwaka kesho.
Mwakyembe jina kubwa; sawa na kipimo kama ni jina kubwa ni mwakani 2010. Kipimo cha jina kubwa sio kwenye TZ au kuongelewa JF. Kipimo cha kazi zake za miaka hii mitano ni 2010.
Kwa mnao ni beep kupitia namba yangu ya UK baada ya kuwaambia niko Kyela, acha ujinga huo. Wale ninaotaka kuwasiliana nao wana namba yangu ya TZ. Hiyo namba ya UK kwa hapa napokea simu za kazini tu.
Kama ni Mwakyembe nilishampa pole na hata sasa namwombea apone kabisa na kuendelea na kazi zake. Sina ugomvi na Mwakyembe as a person, nina matatizo na utendaji wake kama mbunge wa Kyela.
Ghafla kuwaambieni niko Kyela naona mmepanic! Kazi kweli kweli kwenye hizi siasa za TZ. heri wengine tuendelee na boksi letu.
Mwingine anashangaa mimi kuwa online wakati niko Kyela; elewa professions za watu kabla ya kuja na statement kama hiyo. Niko connected popote ninapokuwa na hilo ndilo boksi langu.
Mimi nahangaika na mambo yangu na wala sina sababu za kwenda kuzunguka vijijini. Nimekuambia sigombei ubunge na hata ningekuwa nagombea uchaguzi ni mwaka kesho.
Mwakyembe jina kubwa; sawa na kipimo kama ni jina kubwa ni mwakani 2010. Kipimo cha jina kubwa sio kwenye TZ au kuongelewa JF. Kipimo cha kazi zake za miaka hii mitano ni 2010.
Kwa mnao ni beep kupitia namba yangu ya UK baada ya kuwaambia niko Kyela, acha ujinga huo. Wale ninaotaka kuwasiliana nao wana namba yangu ya TZ. Hiyo namba ya UK kwa hapa napokea simu za kazini tu.
Kama ni Mwakyembe nilishampa pole na hata sasa namwombea apone kabisa na kuendelea na kazi zake. Sina ugomvi na Mwakyembe as a person, nina matatizo na utendaji wake kama mbunge wa Kyela.
Ghafla kuwaambieni niko Kyela naona mmepanic! Kazi kweli kweli kwenye hizi siasa za TZ. heri wengine tuendelee na boksi letu.