Athuman Bagura
Member
- Jun 15, 2017
- 85
- 39
Ni kosa piaWhat if Magu akaamua kumuunga mkono lissu?
Ni kosa piaWhat if Magu akaamua kumuunga mkono lissu?
Hili neno umepiga nyundoSeif amezoea kuharibu chaguzi sasa kasha anza kazi
Hofu zenu za ninini sasa?Yaani UKAWA ishindwe ije iweze CHADEMA na ACT?!
Nakupa ushauri wa bure. Tumia kiswahili, maana kizungu chako cha la kwanza F kinakinaisha.Maalim Seif who said so is not a normal individual he is a national chairman of Act wazalendo and its spokesman. He spoke as a National Chairman of his party sio MTU wa kawaida wa mtaani!!!
Jibu kingereza basi Mimi nimeandika kingereza
Wewe na Jaji nani anaijua zaidi sheria hiyo?
Rungu lipo pale pale, hakuna janja janja. ACT na CHADEMA waenguliwe kwenye mbio za Urais.
Nchi hi inatawaliwa na majuha ya CCM na Jiwe wao. Anzia kule NEC, njoo kwa MSAJILI WA VYAMA, njoo TAKUKURU Ni uoza na uvundo mtupu.
Nataka Msajili atuambie NDOA ILIYOKO KATI YA CCM&TLP ilifungwa lini na kwa sheria ipi ya Coalition.
Watz tunajua MREMA ni TLP lakini ni Mwenyekiti ya Parole Tanzania kwa kuteuliwa na Rais Magufuli(CCM)! Kama hakuna USHIRIKIANO huo basi Magufuli atengue uteuzi wa Mrema kuanzia leo na CCM. wachukuliwe hatua.
Ushauri kwa Msajili: Maoni ya chama kimoja kuhusu Chama kingine juu ya kushinda Urais, Ubunge au Udiwani haiwezi kuwa ni ushirikiano wa moja kwa moja.
Kwenye kupiga kura Kuna mtu wa TLP atapiga kura ya Mbunge kwa Mrema lakini ya Urais atapiga kwa Magufuli! Kosa liko wapi hapo?
Likewise MWANACHAMA wa ACT Wazalendo atapiga kura ya Ubunge kwa mgombea wa ACT lakini ya Rais atampigia Tundu Lissu....kosa liko wapi??
Naomba Msajili, NEC na CCM msitake kuwavuruga Watz. Acheni watu wapige kura kwa Utashi wao....msilaximishe ushindi kwa CCM!
Kwani Lissu ni muislamu?Seif kaingia ACT juzi tuu asaiv ana nguvu kupita zito amemkataa membe kisa udini na anazuga kum support lisu hatutaki watu wa dini sisi tuta mchagua mwinyi na Magufuli tuu
Ustaafu usikupe bichwaHawa NEC siyo wa kuwachekea. Ni mda muafaka wa ku alert jumuiya ya kimataifa huu uchafu unaoendelea
Na ataikamilisha namwaminiaSeif amezoea kuharibu chaguzi sasa kasha anza kazi
Mkuu kwa mara ya kwanza ndio kwanza leo naona unamkubali Maalim. Naona taratibu munaanza kulegea mmoja mmoja. Mwishowe mutavua suruali na kuchutama wenyewe!Maalim Seif who said so is not a normal individual he is a national chairman of Act wazalendo and its spokesman. He spoke as a National Chairman of his party sio MTU wa kawaida wa mtaani!!!
Huyo kimebaki kingereza tu hana hamu na CCMJapo kingereza chako ni cha shida, omba msaada kwa wenzako urudie kusoma alichokiandika MISSILE OF THE NATION halafu wakusaidie kukuelewesha, ndio urudi hapa. Unachosha na arguements zako za chekechea.
Mzee povu vipi lakini?Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!
Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini
Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?
Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi
Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!
Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
Msajili huyo huyo juzi amesema mpaka kampeni zinaanza hakuna vyama vilivyoleta makubaliano ya kushirikiana ofisini kwake. Suala la TLP na UDP kushirikiana na CCM halipo kisheria na CCM hawakuwahi kusema wanashirikiana na chama chochote cha upinzani katika uchaguzi huu.Wanasema aliunga Mkono kihalali ila hawa wameunga Mkono nje ya mud a kisheria
Huyo kimebaki kingereza tu hana hamu na CCM
Msajili huyo huyo juzi amesema mpaka kampeni zinaanza hakuna vyama vilivyoleta makubaliano ya kushirikiana ofisini kwake. Suala la TLP na UDP kushirikiana na CCM halipo kisheria na CCM hawakuwahi kusema wanashirikiana na chama chochote cha upinzani katika uchaguzi huu.
Jumuiya ya kimatsifa haitaruhusiwa kuja Kama waangali was uchaguzi. Kumbe hujuiHawa NEC siyo wa kuwachekea. Ni mda muafaka wa ku alert jumuiya ya kimataifa huu uchafu unaoendelea