Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

Nilichogundua toka kwenye comments za great thinkers ni kwamba YAJAYO YANAFURAHISHA
 
Maalim Seif who said so is not a normal individual he is a national chairman of Act wazalendo and its spokesman. He spoke as a National Chairman of his party sio MTU wa kawaida wa mtaani!!!
Nakupa ushauri wa bure. Tumia kiswahili, maana kizungu chako cha la kwanza F kinakinaisha.
 
Wewe na Jaji nani anaijua zaidi sheria hiyo?

Ni aibu kuwa Jaji ameshindwa ku-itafsiri sheria kwa facts zilizopo mezani. Sijui ni shinikizo au nikilaza, mii sijui. Lakini mwanafunzi wa mwaka wa pili wa sheria Chuo kikuu angeweza kui-apply sheria husika kwenye facts zilizopo vizuri zaidi. Sio hii michosho ya Msajiri.
 
Nchi hi inatawaliwa na majuha ya CCM na Jiwe wao. Anzia kule NEC, njoo kwa MSAJILI WA VYAMA, njoo TAKUKURU Ni uoza na uvundo mtupu.

Nataka Msajili atuambie NDOA ILIYOKO KATI YA CCM&TLP ilifungwa lini na kwa sheria ipi ya Coalition.
Watz tunajua MREMA ni TLP lakini ni Mwenyekiti ya Parole Tanzania kwa kuteuliwa na Rais Magufuli(CCM)! Kama hakuna USHIRIKIANO huo basi Magufuli atengue uteuzi wa Mrema kuanzia leo na CCM. wachukuliwe hatua.

Ushauri kwa Msajili: Maoni ya chama kimoja kuhusu Chama kingine juu ya kushinda Urais, Ubunge au Udiwani haiwezi kuwa ni ushirikiano wa moja kwa moja.
Kwenye kupiga kura Kuna mtu wa TLP atapiga kura ya Mbunge kwa Mrema lakini ya Urais atapiga kwa Magufuli! Kosa liko wapi hapo?
Likewise MWANACHAMA wa ACT Wazalendo atapiga kura ya Ubunge kwa mgombea wa ACT lakini ya Rais atampigia Tundu Lissu....kosa liko wapi??
Naomba Msajili, NEC na CCM msitake kuwavuruga Watz. Acheni watu wapige kura kwa Utashi wao....msilaximishe ushindi kwa CCM!

Mkuu, hayo mabumunda yamejawa na HOFU ya kuwa chama cha upinzani baada ya Uchaguzi huu. Hofu ya umoja na ushirikiano wa ACT na CDM inawakosesha usingizi.
 
Huyo msajili atakuwa premature green embecile ,hata kutumika kwenyewe mbona anajiabisha sana .
IMG_20200923_094406.jpg
 
Maalim Seif who said so is not a normal individual he is a national chairman of Act wazalendo and its spokesman. He spoke as a National Chairman of his party sio MTU wa kawaida wa mtaani!!!
Mkuu kwa mara ya kwanza ndio kwanza leo naona unamkubali Maalim. Naona taratibu munaanza kulegea mmoja mmoja. Mwishowe mutavua suruali na kuchutama wenyewe!
 
Japo kingereza chako ni cha shida, omba msaada kwa wenzako urudie kusoma alichokiandika MISSILE OF THE NATION halafu wakusaidie kukuelewesha, ndio urudi hapa. Unachosha na arguements zako za chekechea.
Huyo kimebaki kingereza tu hana hamu na CCM
 
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!

Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini

Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?

Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi

Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!

Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
Mzee povu vipi lakini?
 
Wanasema aliunga Mkono kihalali ila hawa wameunga Mkono nje ya mud a kisheria
Msajili huyo huyo juzi amesema mpaka kampeni zinaanza hakuna vyama vilivyoleta makubaliano ya kushirikiana ofisini kwake. Suala la TLP na UDP kushirikiana na CCM halipo kisheria na CCM hawakuwahi kusema wanashirikiana na chama chochote cha upinzani katika uchaguzi huu.
 
Msajili huyo huyo juzi amesema mpaka kampeni zinaanza hakuna vyama vilivyoleta makubaliano ya kushirikiana ofisini kwake. Suala la TLP na UDP kushirikiana na CCM halipo kisheria na CCM hawakuwahi kusema wanashirikiana na chama chochote cha upinzani katika uchaguzi huu.


Ndiyo maana Kachero Membe kule Twitter anasema yeye ndiyo mgombea halali wa ACT-WAZALENDO halafu hafanyi kampeni lengo ni kukwepa mitego ya Msajili na NEC.
 
Back
Top Bottom