Kamusi gani inasema ni CHADEMA?!Kwenye kamusi inasemaje?
Acha ushabikiKamusi gani inasema ni CHADEMA?!
Shabiki ni wewe unaelazimisha tafsiri ya umma iwe CHADEMA.Acha ushabiki
Big dealππWhat if Magu akaamua kumuunga mkono lissu?
Hili halihusiani na mada iliyopo lifungulie Uzi tutakujibu huko acha kudandia mada za wengine
Hapo wanaangalia uno tu. Kura kwa TunduUmma upi, huu maana umeshaongea ?
View attachment 1579508
Ushahidi wa maneno yako tafadhali...?!Hapo wanaangalia uno tu. Kura kwa Tundu
Haki Huinua Taifa
UTOTO HUO POSIBLY MSAJILI AMESHAONA UPEPO UNAVYOVUNA SASA ANATAFUTA NAMNA LAKINI SISHAURI AFANYE HIVYO KWANI AMANI YETU INAWEZA KUFUTIKA WITHIN A MINUTES KIZEMBE ZEMBERungu lipo pale pale, hakuna janja janja. ACT na CHADEMA waenguliwe kwenye mbio za Urais.
Kufanyeje?UTOTO HUO POSIBLY MSAJILI AMESHAONA UPEPO UNAVYOVUNA SASA ANATAFUTA NAMNA LAKINI SISHAURI AFANYE HIVYO KWANI AMANI YETU INAWEZA KUFUTIKA WITHIN A MINUTES KIZEMBE ZEMBE
SWADAKTA!!!!!There is no wrong in this scenario!
The law doesn't prohibit any party or a person to endorse anyone, It only prohibits coalitions after a certain period of time prior to the general election
kufuta chama wakati huuKufanyeje?
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!
Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini
Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?
Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi
Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!
Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
Yaani UKAWA ishindwe ije iweze CHADEMA na ACT?!Huna lolote wewe na wenzio isipokuwa HOFU ya UBAMIZWA uchaguzi mkuu kwa CO-OPERATION ya ACT na CDM.
Nani kasema anataka kufuta chama? Acha kukurupuka.kufuta chama wakati huu
In the written ACT wazalendo official letter it is the party now that is endorsing Lisu not individual!!! Read the letter again
ACT wazalendo have their ow Presidential candidate Bernard Membe but in their official letter the party is endorsing Lisu!!!!! It is no longer an individual issue it is a party issue!!