afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
- Thread starter
- #21
AD mpenzi nitakujibu kwa namna ninavyoelewa mimi kama mimi....Punishment ni ile reward ambayo mtu anapata kwa kile alichokifanya..........s/he deserves to be punished kwa alichokitenda............lakini hiyo punishment iwe imezingatia vigezo vingi including respect ya mtu, utu wa mtu na position au uhusiano kati ya muadhibiwa na mtoa adhabu.
Abuse inaweza isiwe punishment kwa maana ya kuwa si lazima anayekuwa abused awe amekosea au amefanya kitu cha kumfanya aabusiwe. Abuse inawezatokea palipo na uonevu, inakuwa disrespective na haiangalii utu wa anayeadhibiwa/abusiwa. Maneno ya kashfa, dharau, udhalilishaji, disrespect, ignoring n.k vinaangukia kwenye abuse na si adhabu......kupiga bila makosa, kubaka, kulawiti na hata kupata sexual pleassure without the consent of the giver are forms of abuse my darling.
MJ1 dear
asante sana
umeelezea vema na kuelimisha vizuri
Naomba kila mtu asome hapa ili tusichanganye
haya mawili jamani ni mambo mawili tofauti kabisa..
hapo kwenye red hivi kama watu wameoana na wanaishi
pamoja kwa muda lakini kila mara mmoja hajisikii kufanya sex
na mwingine akawa anamlazimishia na mara nyingine kumwingilia
kwa nguvu Je waweza sema hiyo ni abuse??
sante mpenzi kwa majibu yako ya kuaminika ...