mr.dominick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 244
- 28
Na bado watafuataia na wengine hakuna mtu atakaye ishinda serikali mkono wake ni mrefuuu wewe hapo hata ukikimbilia chooni kwenye nnya(headhunt movie) tunakupata tuu!
Hao wanatumiwa na mabeberu wa kiarabu na masultani kuleta fujo nchini wenzao wenye uzalendo kule Zanzibar wanapata mshahara chini ya mara5 wa huo wanaoupata lakini hawalalamiki
Dawa ni kuwashughulikia tu hawa wanaojaribu kumrudisha sultani