Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Nadhani wewe tu ndo hujamwelewa mkuu, hebu soma tena hiyo. Anazungumzia ishu ya Dr. Ulimboka.Heading ya thread yako na maelezo yako mbona haviendani!
Nadhani wewe tu ndo hujamwelewa mkuu, hebu soma tena hiyo. Anazungumzia ishu ya Dr. Ulimboka.Heading ya thread yako na maelezo yako mbona haviendani!
Mbona hili wala sio siri tena ... Jamaa alimpigia simu wakamalize maongezi LEADERS CLUB!!! Ulimboka akaondoka na Rafiki yake mmoja! Wakati wanongea na huyo Jamaa hakueelwana ...Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from some where
Tafadhali rudia, sijaelewa au sijawapata vizuri wandugu
ngoma inogile, a failed assassination plot na itaigharimu sana serikali yaq nyinyiem
We unaongelea polisi kuchukua record ya simu wakati wao wanaongelea kuifuta ili kupoteza ushahidi!! Labda useme waje Scotland Yard ndo utapata haki. Au hukumbuki matukio yanayofanywa na polisi au usalama wa taifa yanavyopotezewa ushahidi? Mfano ni vinasa sauti viliwekwa chumbani kwa Dr Slaa wakati mbunge hadi leo hatujui iliishia wapi.polisi waangalie record ya simu ni nani aliyemuita Dr usiku ule!kisha Wamuanike mnazi mmoja tumchinje
hizi ni tuhuma nzito sana kwa serikali. Siwezi kuamini kwamba serikali imehusika na uchafu huu, inawezekana labda walikuwa na ugomvi wa mabibi.
Mhola ahene.Nimesema hivyo kwa sababu kuna post humu inaonyesha kuwa alipigiwa simu na mtu asiyemfahamu akaenda peke yake.Sasa inashangaza aliendaje peke yake