Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,385
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .
Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.
Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.
Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi
Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .
Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.
Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.
Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi
Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya