50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
Ongezea hawa watatu: Joseph James Mungai, Ferdinand Ruhinda na Lukuvi [RC Dodoma huyu aliibia mradi wa mabasi wa umoja wa vijana]
 
kama hao ndo wanainyonya au walioiweka bongo kwenye hali mbaya kwanini wasichukuliwe hatua kali.kama tunawajua na serikali ina jua lazima ifanye uchunguzi au hao ndo serikali??
 
Serikali haiwezi kuwafanya lolote kwasababu wako nayo kwenye Syndicate moja kwahiyo basi, kwa sisi wadanganyika inatosha kama wao wakijua kuwa hata kama wataendesha mabenzi jamii inawajua kuwa wao ni wezi; hiyo kwa mtu mwenye akili timamu ni adhabu tosha sawa na kuzomewa kila unapopita!!
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50).

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Benjamin William Mkapa
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Jakaya Mrisho Kikwete
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Zeutamu Owner
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
Tuendeleze list
Namba moja wewe;
Sumaye na Zeutamu nao wamei-screw pia?
 
List hiyo mnawaonea tu kuwabandika kuwa ndio wanyonyaji wakubwa wa nchi hii. Ni kweli huenda baadhi yao wanachukua vijisenti lakini mali hasa ya nchi hii inaliwa na Multinational Companies ambazo zina operate hapa nchini bila kudhibitiwa na Serikali.

Multinational hizo zimo katika sekta za Madini, Viwanda, Utalii, Uvuvi etc. Njia kuu ya wizi wao:-

1. Kuongeza bei ya malighafi wanazoagiza (over invoicing of imports).
2. Kupunguza bei ya mali wanazouza nje (under invoicing of exports).
3. Kulipa kodi duni (Tax evasion/avoidance)
4. Misamaha ya Kodi (Tax exemptions)
5. Kulipa wafanyakazi wa nje mishahara na marupurupu makubwa sana (High
remuneration of expertriates).
6. Kuongeza maksudi gharama za uendeshaji na ada za Utaalm (High
running/technical advisory fees).
7. Kuongeza bei ya mitambo inayoingizwa nchini (Over pricing of capital
goods).
8. Kutorudisha nchini fedha za kigeni za mauzo ya nje (Fx outflow)

The sum total ya hayo yanayofanywa na multinationals ni kubwa sana ukilinganisha na vijisenti vya hao jamaa zetu put together. Kama tunataka kweli kulitupia macho swala hili tuangalie ni wapi tunapoteza zaidi na tuanzie hapo kuliko kumfuata mtu mmoja mmoja.
 
kwi kwi kwi...

Du kwa mtindo huuu JF mnaipeleka kule isipotakiwa kuwa!

Kasheshe,
Mimi nadhani kama tuna kura ya kuwataja wauwaji wa albino ambao tunafahamu kuwa haya yanafanyika kwa imani za kishirikiana ambayo inaambatana na kupata manufaa ya aina fulani. Basio sioni tofauti yoyote na thread hii. Kwa kuwa hakuna sheria inayoweza kuwabana ambao watapigiwa kura za mauwaji wa albino kadhalika hata mafisadi watakaotajwa humu. Ila tofauti ni kuwa watakuwa wanafahamika kwa jamii (kwani vyombo vya dola vinawafahamu, hivyo kwao ni kelele kwa mwenye nyumba) na kwa kuwa Pinda alishatoa ruhusu ya kuwasulubisha, inaweza pia kuwa mwanzo wa kuwasulubisha mafisadi. Hii inamaanisha hatimaye tutakuwa na Tanzania isyokuwa na wauwaji wa albino na isiyokuwa na mafisadi.

Kwa kila jambo na wakati, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna... utajaza!
 
Nadhani mnamsahau masterminder, professor Mkandala VC at UDSM, kuna mtu kamtaja??

Please can you update the list ipost upya tena?? siyo lazima 50! wanaweza wakazidi, maana kwa harakaharaka, wananchi wenyewe ndiyo wanascrew pia, kwa mfano wapiga kura wa Rostam, Chenge, Lowassa, Mkono,Yona, Mramba, n.k

Mkandala usimsahu!
 
List hiyo mnawaonea tu kuwabandika kuwa ndio wanyonyaji wakubwa wa nchi hii. Ni kweli huenda baadhi yao wanachukua vijisenti lakini mali hasa ya nchi hii inaliwa na Multinational Companies ambazo zina operate hapa nchini bila kudhibitiwa na Serikali.

Multinational hizo zimo katika sekta za Madini, Viwanda, Utalii, Uvuvi etc. Njia kuu ya wizi wao:-

1. Kuongeza bei ya malighafi wanazoagiza (over invoicing of imports).
2. Kupunguza bei ya mali wanazouza nje (under invoicing of exports).
3. Kulipa kodi duni (Tax evasion/avoidance)
4. Misamaha ya Kodi (Tax exemptions)
5. Kulipa wafanyakazi wa nje mishahara na marupurupu makubwa sana (High
remuneration of expertriates).
6. Kuongeza maksudi gharama za uendeshaji na ada za Utaalm (High
running/technical advisory fees).
7. Kuongeza bei ya mitambo inayoingizwa nchini (Over pricing of capital
goods).
8. Kutorudisha nchini fedha za kigeni za mauzo ya nje (Fx outflow)

The sum total ya hayo yanayofanywa na multinationals ni kubwa sana ukilinganisha na vijisenti vya hao jamaa zetu put together. Kama tunataka kweli kulitupia macho swala hili tuangalie ni wapi tunapoteza zaidi na tuanzie hapo kuliko kumfuata mtu mmoja mmoja.

Sawa kama ulivyoainisha, lakini haya yote yamewekwa katika madaraka ya wenzetu. Pale ambapo wanashindwa kusimamia nchi kupata mapato yake wakati wao wameajiriwa kwa ajili hiyo na wanalipwa kwa ajili hiyo, basi wao ndio wanaokuwa wanyonyaji wakubwa wa Tanzania. Huwezi kuwa na afisa wa TRA anaekagua mizigo iliyoingizwa nchini ya say 1,000,000 halafu yeye akaidhinisha kuwa thamni ni 10,000 halafu useme kuwa yeye asihusishwe ila huyo muagizaji.

Sikuzote kila mvuta kamba huvutia upande wake, ila hawa waliokabishiwa hizo kamba na watanzania hawazivutii upande wa watanzania, matokeo yake tumeendelea kushindwa!
 
Familiya ya Sultani KARUME!
Rais Amani Abedi Karume, Mama yake Fatma Abedi Karume,
Mke wake Shadya Amani Karume, Shemeji yake Mansur Yusuf Himidi na Mdogo wake Ali Abedi Karume!
 
Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.

Ama kweli kuna watu wana macho lakini hawaoni na masikio lakini hawasikii. Sasa Mfumwa kuna jina gani hapo ambalo unaliona ni safi au limeonewa? Tutafika lakini....kio chedi
 
List inaendelea, CCM, UWT(Usalama......)

Mbona jamaa wa Usalama wa Taifa hawamo nao walikula sana hela za EPA?

Teh Teh Teh......

Nadhani badala ya Taasisi ni vema tuka-focus kwenye viongozi wa taasisi hizo,ndio maana huko ATC tunawataja Mattaka na Nyang'anyi na sio ATC...

Anyway,mie nawaongeza hawa:
PAPAA MSOFE (From kuuza unga,noti bandia,udhamini feki mahakamani...nafasi haitoshi hapa kutaja uhalifu wake wote)

BALHABOO (Sijui ndio inaandikwa hivyo,ila namaanisha BALABUU yule fisadi wa biashara ya mafuta na ngono)

MASTER T (Taji Liundi.Huyu sio fisadi wa kiuchumi bali ngono.Ni acitivist mkubwa ktk vita dhidi ya ukimwi lakini ni kiwembe numero uno...ask wanaojua CV yake PSI,Times FM)

DUNSTAN TIDO MHANDO (Ungetegemea mtu aliyekaa BBC miaka lukuki angeweza kui-transform TBC,lakini anahangaikia mkono wake uende kinywani.Huyu ni fisadi wa Habari).

SALVA RWEYEMAMU (Huyu sihitaji kutoa maelezo juu yake ila kwa kifupi anaweza hata kuuza roho ya mzazi wake if the price is right)

DEODATUS BALILE (A junior version of SALVA)
MuHINGO RWEYEMAMU (same surname as SALVA,same ufisadi-prone as SALVA)
PRINCE BAGENDA
DR ABDALLAH KIGODA
PROF JUMA KAPUYA
PRO MAHALU
PROF MWANDOSYA
(Screwed us kwenye sekta ya mawasiliano despite his outstanding academic credentials)

to be continued

INVISIBLE....Hii topic inaweza kuzalisha kitabu pindi itapofika mahala pa kuhitimishwa.I would suggest kwamba ifike mahali ikubaliwe (ikibidi kwa kura za maoni ya wana-JF) nani na nani hasa wanastahili kuwamo kwenye orodha hiyo,na kama idadi inazidi kuongezeka basi hakuna ubaya wa kuibadili mada na kuwa watu 100,150,etc walio/wanao-iscrew nchi yetu..Na kwa kusaidia,tunaweza kuwagawa hawa wahalifu ktk makundi,kwa mfano SIASA/UONGOZI,WAFANYABIASHARA,WANAHABARI,WAHALIFU WASIOGUSIKA (The Untouchables) eg Msofe,WAHARIBIFU WA MAADILI eg Shigongo na Abdallah Mrisho,WAZINZI (this could be debatable),nk nk
 
Last edited:
Duuuh! Zitto hapana wakuu, hawa ni kwa Dowans tu. Au mnasemaje wakuu?
Kwa nini unamtetea Zitto,unaweza kushika Bible/Quran ukaapa kuwa katika issue ya Dowans Zitto hakuvuta? chonde chonde wadau tuwe wakweli kwa nafsi zetu,tusitetee for the sake of kutetea hata kama facts ziko glaring!
 
jamani, huyu erick shigongo ana nini, mbona helpless person tu? leteni data zake, hatuzijui. hao wengine uliowataja, aisee ni noma, hawafai.
 
mmemsahau Alex Masawe,Ray wa Regence Hotel,David Mosha ,Musa Ntimizi matapeli wa Tanzania wauza Madini feki,
 
Top 5 people responsible for yote mnayoyaona ni
1: Rostam
2: EL
3: JK
4: Apson
5: Mkapa

the rest just trickles down...
 
Kama Makufuli hajaingizwa kwenye listi basi mtakuwa mnamuonea naamini na yeye anatamani awepo hapo maana listi itakuwa haijakamilika.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom